Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,625
- 22,004
Hamna mtu paleHuyo anaetaka simu za mkononi zilipiwe Kodi?
Hamna mtu paleHuyo anaetaka simu za mkononi zilipiwe Kodi?
Barabara ikiwa mbovu unamlaumu injinia ikiwa mzuri unamsifia mwanasiasa.Yaaan barabara pekee ambayo ina kiwango afadhali ni ile ya External, EPZ,via Jeshin hadi daraja la Maji chumvi. Hawa Wahandisi wetu wa Barabara huwa natamani niwachape hata bakora kwa uhuni na Uhujumu wanaozifanyia barabara zetu maaana ni aibu sana.
Kwahiyo Mshahara kila mwezi unalipwa wa kazi gani?Barabara ikiwa mbovu unamlaumu injinia ikiwa mzuri unamsifia mwanasiasa.
Sasa nikuulize swali utasimamia vipi mradi kama fedha za usimamizi serikali haitoi?