mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
Kimbuka wanasifia ni CCM na yeye mama Samia ni CCM na ndo iliyompa ridhaa ya kuongoza nchi. Ukisema awaepuke atawaepuka vipi?Yapo mengine unashindwa kuyaeleza hivyo unaiachia video ndio iongee, karibuni sana...
Kama sifa zinalevya, basi Mh Rais Samia Suluhu Hassan kaa chonjo na watu kama hawa!
Juzi kwa mwendazake leo kwako...waepuke wanafiki hawa, kaa mbali nao na waogope kama ukoma!
1.
View attachment 1819875
2.
View attachment 1819876
3.
View attachment 1819877
4.
View attachment 1819879
5.
View attachment 1819880
6.
View attachment 1819881
7.
View attachment 1819882