Slaa akivaa suti anaonekana mtu mstaarabu wa kawaida. Aliyemshauri asivae magwanda kafanya vizuri.
Unamhusudu sana Google uone kama ameanza kuvaa suti kwa safari ya marekani au huna mlo leo kwa kumtaja unapata book saba mara mbili, gwanda atalivaa kwa sababu ni mamuuzi yake