nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Embu angalia mchina jamani anashiriki siasa za nchi kisa anaimba nyimbo ya kumsifu mfalme, aisee halafu ukiangalia nyuma kuna polisi kabisa analinda eti usalama.
Yaani msajili wa vyama yupo tu,jenga picha hii ingekuwa ni chadema maana kwenye mkutano wa cdm wale mabalozi wa abroda kualikwa tu ikawa nongwa.
Awamu ya tano wameturudisha nyuma hatua ma elfu hii nchi kurudisha heshima zake,utu upendo na mshikamano itabidi iwe kipaumbele cha awamu ijayo kuanzia november mwaka huu atakapoondoka huyu mfalme anayetuvurugavuruga tu.
Yaani msajili wa vyama yupo tu,jenga picha hii ingekuwa ni chadema maana kwenye mkutano wa cdm wale mabalozi wa abroda kualikwa tu ikawa nongwa.
Awamu ya tano wameturudisha nyuma hatua ma elfu hii nchi kurudisha heshima zake,utu upendo na mshikamano itabidi iwe kipaumbele cha awamu ijayo kuanzia november mwaka huu atakapoondoka huyu mfalme anayetuvurugavuruga tu.