Ndo shida ya kijitonyama,makumbusho, mwenge na mlimani.Hayo majengo ukiyaona utasema upo ulaya. Sasa katisha hako kamtaa kwenye hicho kituo cha basi kwenda huko kwa kopa. Ni shiida, uswazi kinyama.
Mkuu unautani sana ww nime zoom mara 20 sijaona kituKwenye lile jengo la NHC kuna kapo inabanjuana halafu hawajafunga dirisha,yaani wako laivu looh.
Aahahahahahhaaaa kama umerudi kuizoom picha ili kuitafuta hiyo kapo ujue unapenda chabo hehehehehheee
Kasie Mavurugu.