Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
[h=3][/h]
Mke wa Mwanasoka David Beckham,Victoria amepata mtoto wa kike aka baby girl jana July 10,2011 akiwa ni mtoto wa 4 kwenye familia hiyo
David beckhama alitupia kwenye mtandao wa Facebook kuwa "wana furaha ya kutangaza ujio wa mtoto Harper Seven Beckham aliyezaliwa Los Angeles-Marekani'' na Harper Seven Beckham atakua na kaka zake watatu, Brooklyn (miaka 12), Romeo (miaka 8) naCruz (miaka 6) na jina la kati la Harper,Seven au 7 limetokana na baba yake kuvaa jezi no 7 wakati akiwa anaichezea timu ya Manchester United kabla ya kuiacha na kuhamia Real Madrid ya Spain
Mke wa Mwanasoka David Beckham,Victoria amepata mtoto wa kike aka baby girl jana July 10,2011 akiwa ni mtoto wa 4 kwenye familia hiyo
David beckhama alitupia kwenye mtandao wa Facebook kuwa "wana furaha ya kutangaza ujio wa mtoto Harper Seven Beckham aliyezaliwa Los Angeles-Marekani'' na Harper Seven Beckham atakua na kaka zake watatu, Brooklyn (miaka 12), Romeo (miaka 8) naCruz (miaka 6) na jina la kati la Harper,Seven au 7 limetokana na baba yake kuvaa jezi no 7 wakati akiwa anaichezea timu ya Manchester United kabla ya kuiacha na kuhamia Real Madrid ya Spain