Victor Wanyama and friends sees Tanzania as the best place to spend their Holiday.

Xplorer

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
607
857
Baada ya mastaa kibao kutoka nchi mbalimbali kutua Tanzania kwaajili ya mapumziko wakiwamo Beckham,Sacko,Will Smith,Christian Eriksen,n.k Mchezaji mwingine kutoka Spurs anayejulikana kama Victor Wanyama ameona na yeye asiachwe nyuma na kulazimika kuja Tanzania kujionea mwenyewe kinachoitwa "The soul of Africa'' na kujipatia mapumziko sahihi yeye na rafiki zake.

Ujio huo umezua maswali mengi nchini Kenya na kupelekea kufanyika vikao vingi vya tourism players ndani ya nchi hiyo vyenye malengo ya kutaka kujua kile kinachoendelea Tanzania.
wanyama.jpeg


Sisi sote ni ndugu,sisi tukipata ni sawa na nyinyi mmepata,EAC haitadumu kama baadhi yetu hatutapunguza wivu na kuamini katika umoja wa kweli na sio umoja wa kinafki,Ona kwa mfano huyu Mkenya anavyoumia roho kutokana na speed kubwa ya ukuaji wa utalii Tanzania..
wivuuu.jpeg


nomasana, Sammuel999 NairobiWalker , @hbyuso, msemakweli, simplemind , Kimweri , @Bulldog, MK254 , Kafrican , @Ngongo , mtanganyika mpya JokaKuu , Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11, Geza Ulole
 
Acheni ushenzi nyie kwani kuja Tanzania kuna tatizo gani mbona kila kitu mnakichukulia negatively
 
Kwa sasa utalii Tanzania utakuwa kwa kasi sana. Moja ya sekta ambayo Magufuri anaiyangalis kwa jicho pana sana ni sekta ya utalii. Kutakuwa na mageuzi mkubwa sana kwenye hii sekta
 
Mtalii yeyote duniani, anapenda kwenda sehemu yenye amani. Nchi nyngi za Afrika huwa zinagubikwa na fujo kuelekea uchaguzi, Kenya ikiwemo.

Hata kama wangetamani kwenda Kenya, wasiwasi wa fujo na kadhia kama hizo zinawafanya wasiende huko.
 
Serikali itabidi imuonye wanyama, si jambo la busara sana kwake kwenda huko jamaa wanaweza wakampa sumu kwa majungu yao..wengi kenya tumesikitishwa sana na jambo hili na naomba wizara husika itoe tamko na kukashifu pia..
 
Kwa mwaka huu Tanzania tunapata wageni wengi kwa kuwa wanaogopa uchaguzi wa kule kwa jirani zetu
 
Serikali itabidi imuonye wanyama, si jambo la busara sana kwake kwenda huko jamaa wanaweza wakampa sumu kwa majungu yao..wengi kenya tumesikitishwa sana na jambo hili na naomba wizara husika itoe tamko na kukashifu pia..
Hatuna roho ya kinyang'au sie...
 
Back
Top Bottom