CCMScrow ndio laana ya hii nchi. Tunazunguka kukejeliana lakini ukweli uko palepale. Hakuna mpinzani anaeza fanya ufisadi akatoboa.
Tumeona ya Mbowe billz na Sumaye shamba. Lowassa walisema anaundiwa mahakama ya mafisadi. Hadi leo haina wateja.
Tusubiri hili la madini. Maana imesemwa wakisaini mkataba London Lowassa alikua ndani ya hoteli hiyo Karamagi alokua akisainia. Je, Lowassa ataguswa. Ni wakati muafaka sasa. Maana Richmond ndo wameshindwa kumfikisha kwa pilato.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.