Victor Bout na JWTZ, Meremeta na DRC, Mwanza na Mapanki: Connecting the dots!

Kizuri chajitangaza, kibaya chajiuza.

Wewe unaenena hayo, uliyajuwaje? una source? kama huna, ni wewe usemae uongo!

Ukisema fulani kajamba, inabidi ueleze, uliisikia harufu au sauti ya ushuzi?

Katika uongo ulioutowa wote, hakuna ulipoeleza sauti wala harufu? hizo (zako) ni riwaya za kusadikika.

Anae rubunika aamini, asie rubunika hatoamini!

Dar Es Salaam, Tunahitaji huo ukweli unao ufahamu sio ku-crash wakati huna unachijua juu ya swala hili. Kama hujui chochote kaa kimya.

check hii link Google Translate
 
Hivi hakuna mtu anayejua watu wa Bout katika Tanzania ni kina nani? Hivi mnakumbuka juu ya ndege yenye silaha iliyokamatwa pale Uwanja wa Ndege wa Mwanza?

Unataka kuwajua?Huwajui.Kwanini usiwajue wakati wanajulikana.Mzee kama wewe usiwajue !Masihara hayo.
Uwajue usiwajue haikusaidii mzee.
Mbona unafanya kazi nzuri hapa Jamvini walau watu wanatoa munkari wao.
Haya mambo pamoja na wenzako hamyawezi kabisa.Watoa hoja wengi naona wanaelekeza lawama zao kwa wabunge-Mbona munawaonea bure.Wazee haya mambo mazito.Ukiyaangalie in 3D uanayaona ni rahisi lakini ukiyaangalie in 5D ni maji marefu na yamewashida wengi.
Ebu ona na angalia in 5D-Mzee hata wewe unakumbuka kuwa ndege ilikamatwa na silaha na ndege iliondoka na silaha.Kila mtu alisoma hizo news and the bigger picture was understood.
 
Unataka kuwajua?Huwajui.Kwanini usiwajue wakati wanajulikana.Mzee kama wewe usiwajue !Masihara hayo.
Uwajue usiwajue haikusaidii mzee.
Mbona unafanya kazi nzuri hapa Jamvini walau watu wanatoa munkari wao.
Haya mambo pamoja na wenzako hamyawezi kabisa.Watoa hoja wengi naona wanaelekeza lawama zao kwa wabunge-Mbona munawaonea bure.Wazee haya mambo mazito.Ukiyaangalie in 3D uanayaona ni rahisi lakini ukiyaangalie in 5D ni maji marefu na yamewashida wengi.
Ebu ona na angalia in 5D-Mzee hata wewe unakumbuka kuwa ndege ilikamatwa na silaha na ndege iliondoka na silaha.Kila mtu alisoma hizo news and the bigger picture was understood.

Mamadou, Mbona unazungumza kwa mafumbo? kuwa wazi tu usiwe mwoga. This is JF - "Where We Dare to Talk Openly"
 
Meremeta ilipoanzishwa siyo kwamba lengo ilikuwa ichimbe dhahabu pale buhemba. issue ilikuwa iwe inakusanya dhahabu kutoka DRC kwa waasi na kuiuza na sehemu ya mapato walikuwa wanakula akina Victor, Gen. Robert Mboma na wenzake, as a return, waasi walikuwa wakipata silaha zilizokuwa zikiletwa na ndege hizo kwa mipango dhabiti iliyosukwa na bwana Victor, sijui kama jeshi lilifaidika na meremeta. Ndiyo maana ghafla tu mara wakahamishia issue kwa tangold, mara tangold ikafilisika n.k. yote haya ilikuwa ni kutuzuga tu tusielewe lakini tunajua mengi mno.

Pinda na wenzake wanaogopa kuiongelea kwa sababu inaonyesha wazi Tanzania ilishiriki kuiba dhahabu huko DRC na ilihusika kufadhili vita vya waasi kwa kukubali kupitisha silaha ktk ardhi ya TZ.

.....yapo mengi....tuseme??
 
Mag3..

a. Ndege hizo zilikuwa ni za nani, zinatoka wapi na kwenda wapi?
b. Kwanini ndege hizo ziliruhusiwa kutua na baadaye kuondoka?
c. Ni nani aliyetoa maagizo kwa uongozi wa mkoa wa Mwanza kuruhusu ndege hizo kuondoka nchini?

Food for thought:- During that period if I am not wrong,there were several factions fighting----------------
".Congo-Kinshasa: Wamba dia Wamba Removed, Say Dissidents

Charles Cobb Jr.


7 May 2001
Washington, D.C. - The messy Congo-Kinshasa political situation became messier Monday as John Tibasima Atenyi, a Vice President of the Bunia-based rebel movement Congolese Rally for Democracy, Kissangani (RCD-K), said it has removed the group's leader, Professor Wamba dia Wamba.


"Wamba is now out of the movement," declared Tibasima, who also said that in Lusaka this past Friday he had prevented Wamba from signing a declaration calling for all-party dialogue and signed it himself on behalf of the RCD. Nor, said Tibasima, was Wamba in Bunia where the RCD-K is based.
Replying from Dar es Salaam, Tanzania, Professor Wamba said he had not gone to Bunia because Uganda kept him out. Tibasima, says Wamba "signed as a vice-president of the movement."
The split between Wamba and Tibasima as well as with Mbusa Nyamwisi, another RCD vice president, has been clear since January, when three rebel leaders agreed to merge with Jean Pierre Bemba's Congolese Liberation Movement (MLC) and form a new group, the Congolese Liberation Front (CLF). Wamba refused to join, but several members of his executive, including Mbusa and Tibasima,agreed to sign onto the new group."
For those who know Prof Wamba dia Wamba conections in Tz. maybe the answer to ( c ) can be found.
 
Last edited by a moderator:
I'm really tempted to go all the way;

The Meremeta issue if pursued to the fullest extent of possibilities will unveil a clear and obvious failure in leadership and would result to criminal charged to be leveled against the following:

- Ex President Benjamin Mkapa
- EX Attorney General Andrew Chenge
- EX Chief of Defence Forces Robert Mboma
- Ex Secretary of the Defence Ministry Vincent Mrisho
- and others who at the moment I choose to hold them in pectore! The people connecting Victor B. and some corrupt government officials in the Tanzanian Government!

Clue: Kwanini serikali ilireact kwa ukali sana kuhusu filamu ya "mapanki"?

answer: tafuta ripoti yangu ya "Tracing Reports" ya mwaka 2006 iliyopo somewhere here!

where we dare to talk openly. M.M Mbona hujamsema marehemu? Kulikuwa na fununu mitaani kuwa siku ile alikuwa kwenye mkutano na wakuu wa nchi wa makanda ya maziwa waliokuwa wanahusika na mgogoro wa Congo DRC, na hapo ilikuwa revealed kuwa Hayati alikuwandio dealer wa siraha kwa hiyo ilikuwa ni kashfa akatakiwa kujiuzuru nafasi yake.

Je hizi tetesi zina ukweli wowote?
Kama zina Ukweli basi kuna uwezekano marehemu hakufa usingizi kama tulivyosadikishwa labda alifanyiwa kale kamchezo ketu ka kuifuatilia AORTA na alipoaamka akajikuta ameshaaga Dunia? Kwani Kujiuzuru pekee yake isingetosha kulida siri za wengi waliobenefit?
Je tutegemee siku moja kusikia watanzania kadhaa wakifikishwa The Hague? :mad:
 
"the world’s most efficient postman" is said to have owned his own fleet of aircraft to ferry small arms into embargoed conflict zones...was Mwz/Rwanda transit? you be the judge...He own the company air sess
 
Naomba msaada kwa wataalamu.

Nani alikuwa katika nyadhifa hizi kati ya mwaka 1990-2005?

Waziri wa Fedha
Waziri wa Ulinzi
Waziri Mambo ya Nje
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi
Katibu Mkuu Mambo ya Nje
Mwanasheria Mkuu
Wandamizi Wizara ya Sheria wa Masuala ya Mikataba ya Kimataifa
Mkuu wa Jeshi (JWTZ)
Mnadhimu Mkuu wa JWTZ
Mkuu wa Intelijensia ya Jeshi
Mkuu wa Usalama wa Taifa
Mkuu wa Uhamiaji
Wakuu wa Mikoa: Mwanza, Kigoma, Kagera
Wakuu wa Wilaya zilizoko Mpakani Magharibi kupakana na Zaire/Congo, Rwanda, Burundi, Uganda
Wakuu wa Usalama wa Wilaya na Mikoa inayopakana na Zaire/Congo, Rwanda, BUrunsi na Uganda
Mkuu wa Kitengo cha Fedha za Nje BOT
Gavana wa BOT
Balozi wa Tanzania Zaire/Congo, Rwanda, Burundi na Uganda
Wabunge wa wilaya za mpakani mwa Zaire/Congo, Rwanda, BUrundi na Uganda

Natanguliza Shukrani
 
Sasa tunarudi kulekule. Ni kwa nini Darwin Nightmare JK alikuwa mbogo? Kwa sababu ilikuwa inaeleze jinsi nchi yetui iliposhiriki kama double face-upande mmmoja mpatanishi wa amani Maziwa makuu na Upande wa pili conduit wa silaha kwa wapiganaji.

Hata tukahoji uraia na uwezo wa Mwandishi mzalendo wa Citizen aliyeandika kwa kina makala ya Guns for Fish iliyochapishwa May 25, 2005 ikielezea kwa kina jinsi ndege za kusafirisha minofu ya samaki zilivyotumika kubeba magendo ya Silaha toka Ukraine na Kwnigineko kwa Msaada wa Victor Bout.

Mwandishi huyo huyo miaka miwili baadae alitunukiwa tuzo ya CNN kwa kuandika kwa kina kuhusu Mgogoro wa Mgodi wa Buzwagi. Kwa post hii ya Papaa Mwanakijiji, tukichimba zaidi itakuwa kilio na huenda ndio maaana watu wanakuwa wakali ukigusa meremeta.
 
Mchungaji.. r u really interested to go that route?

Mwanakijiji,

We are trying to build a civil and strong society that is open and trusted. The primary spot for this to be succssful is to start with an Open Government!

THis sounds like the Iran-Contra dealings on Reagan Administration. I wish we had some Oliver North, Ed Meese and others who would take a sword and accept the responsibility and we should be done with it and not the hallucinational lies which are childish and immature from our government!
 
Labda tumkumbushe Dar es Salaam kuwa kuna english phrase inasema kuwa no reseach no right to speak.
 
Clue: Kwanini serikali ilireact kwa ukali sana kuhusu filamu ya "mapanki"?

answer: tafuta ripoti yangu ya "Tracing Reports" ya mwaka 2006 iliyopo somewhere here![/QUOTE]
Filamu ya mapanki ni DARWIN"S NIGHTMARE?
 
I am completely flabergasted with this story. This is not Tanzania that I know.It is well understood that we have mean and greedy leaders;but, I didn't expect them to sink this low . This is utterly pathetic, they are using usalama wa taifa as a camouflage for their shady business.
 
Jamani eeehh kama mumeunganishaunganisha na sasa inaeleweka wazi kwa nini ispelekwe ze Haque wakajibu huko?
 
Weapons shipments arriving by boat from Tanzania, and the Government of Tanzania's role in supporting war in DRC, are never questioned. This may have something to do with Barrick Gold's mining licenses in Tanzania's Masaai territories. Aircraft flying between Tanzania, DRC, and from Kenya, are allowed to do so without proper documentation, record-keeping or customs oversight.

see:http://matchafa.quebecblogue.com/category/corporations/armement-weapons/victor-bout/
 
Tanzania was complicit in the going-ons of the DRC war that saw Kabila taking over. That much is known; Tanzania harboured Kabila for many years. Question that now raises its head is which side of the fence was TZ on: Kabila's or did we "prostitute" ourselves for the almighty $$?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom