Victor Bout na JWTZ, Meremeta na DRC, Mwanza na Mapanki: Connecting the dots!

...Mkjj, kupika ni aina ya sayansi, kunahitaji mpangilio ulio makini ili kupata mlo wenye matumaini, kushibisha na kurutubisha mwili. Ukijiwekea mambo kwenye sufuria bila kujali ni joto gani linahitajika na nini kitangulie, utaishia kupata miuji-uji isiyonyweka although contents ni zilezile!

...Lile gazeti la Telegraph la kule Uingereza lililofanikisha kuwatibua na kuwalipua baadhi ya wabunge wa nchi ile hadi spika wao, lilifata mpangilio uliokuwa umefikiriwa kwa makini kabla ya kuwa executed. Bila hivyo gazeti lingeweza kufungiwa na lingeweza kutofanikisha lengo lake ipasavyo, hata kule kuwahabarisha tu watu.

...Kwenye hii ishu ya Meremeta, inatakiwa watu/wabunge wenye uwezo. Tatizo tunao wachache mno kwenye bunge letu. Tukitegemea kupata bonge la menu, bila kufata recipe ipasavyo, tusishangae kujikuta tunaletewa mezani miujiuji isiyonyweka!!


...Kwa wenye kuhitaji kuiona Darwin's Nightmare kupitia kwenye mitandao, documentary hiyo inapatikana hapa: Darwin's nightmare - Darwins Albtraum
...Kama hupendi kuangalia background issues, unaweza ukaforward hadi dakika ya 40 hivi, mambo ya Mh. Mkapa na Serikali ndipo yanapoanza kuongelewa.

SteveD.

Naomab link ya ku-download "darwin's Nightmare">>>basi nimeipata
 
Habari ya The Guardian_UK ya Mwaka 2000 juu ya Victor Bout.
 

Attachments

  • The Guardian_UK.pdf
    80.4 KB · Views: 86
Hivi hakuna mtu anayejua watu wa Bout katika Tanzania ni kina nani? Hivi mnakumbuka juu ya ndege yenye silaha iliyokamatwa pale Uwanja wa Ndege wa Mwanza?
 
Hivi hakuna mtu anayejua watu wa Bout katika Tanzania ni kina nani? Hivi mnakumbuka juu ya ndege yenye silaha iliyokamatwa pale Uwanja wa Ndege wa Mwanza?

Mwanakijiji turudi nyuma kidogo...........

The East African

Regional
Monday, June 24, 2002
Dar Officials Accused of
Abetting Arms Racket

By RICHARD MGAMBA
SPECIAL CORRESPONDENT
Top Tanzania security officials have been accused of complicity in an
illicit trade involving arms smuggled in by Russian-made aircraft that fly
fresh Nile perch fish fillet from Mwanza to Europe.

Commenting on the allegation, the Mwanza Regional Commissioner, Stephen Mashishanga confirmed to The EastAfrican last week in Mwanza that in October 2001: "We received the information from our security officers at Mwanza airport about cargo planes being used to bring in arms in the country and we informed top-level security organs for action."

He said that during the same period, his officers detained a cargo plane
from Ukraine which was loaded with arms, but a day later "we received
instructions from top-level security organs instructing us to release the
plane."

He, however, declined to reveal the names of the officials who gave the
instructions to release the aircraft.
However..............

2006-08-01 09:37:38
By Guardian Reporters
President Jakaya Kikwete has refuted allegations by a film maker that Mwanza Airport is the entry point of arms fueling conflicts in the Great Lakes region.

Addressing the nation from Mwanza in his monthly routine, the President said in May this year, he met film maker, Hubert Sauper, in Paris and asked him to substantiate his claims that arms entered the Great Lakes region through Mwanza airport. The film maker however, failed to do so and disappeared in thin air.

In the film named Darwin’s Nightmare that made its debut in Paris last October and shown in Germany and UK it is alleged that cargo planes landing at Mwanza Airport clandestinely deliver consignments of firearms for distribution to belligerents in the Great Lakes region.
But......

October 2nd, 2001 Security officers in Mwanza airport detained a cargo plane believed to be carrying arms on a flight supposedly originating from Israel to Angola.

The Antonov 12 plane, belonging to Ukraine Cargo Airways, with a capacity of 35 tonnes of cargo, was however released the next day.

A government source told The EastAfrican that the weapons enter the country through Mwanza airport, which has been described as the conduit for arms smuggled into countries affected by civil strife by arm dealers from Europe, Asia and the Middle East.

Government sources also told The EastAfrican that security at Mwanza airport was poor, making it a popular route through which arm dealers smuggle their wares into the Great Lakes region.

Kaazi kweli kweli.................tunaendelea.
 
Mag3.. yaani tumewachambulia kila kitu, kuwapepetea, na kuwapikia na kuwawekea mezani.. watakula? I really like you! Huitaji the whole book.. u just need to get some sentences and u know how the story goes and probably even the ending..

sasa kungekuwa na mbunge mwenye akili timamu angeuliza:

Mhe. Spika, mwaka x,y kuna ndege zilizokuwa zinasafirisha silaha zilikamatwa kwenye uwanja wetu wa ndege pale Mwanza. Lakini siku ya pili ndege hizo ziliamuriwa kuruhusiwa. Sasa nina maswali matatu:

a. Ndege hizo zilikuwa ni za nani, zinatoka wapi na kwenda wapi?
b. Kwanini ndege hizo ziliruhusiwa kutua na baadaye kuondoka?
c. Ni nani aliyetoa maagizo kwa uongozi wa mkoa wa Mwanza kuruhusu ndege hizo kuondoka nchini?
 
I just did.. and ur the first one to figure out! I know that for a fact!... we all have neurons and I suppose they work alright so.. mambo ya kuwatafunia watu na kuwamezea wao washibe tu si mazuri. I gave all that I could! Alichoshindwa kufanya Waziri Mkuu, I just did it in a nutshell! Wabunge wenu wakitaka kujua wanaweza kujua!

Uongo mtupuuu!
 
Kizuri chajitangaza, kibaya chajiuza.

Wewe unaenena hayo, uliyajuwaje? una source? kama huna, ni wewe usemae uongo!

Ukisema fulani kajamba, inabidi ueleze, uliisikia harufu au sauti ya ushuzi?

Katika uongo ulioutowa wote, hakuna ulipoeleza sauti wala harufu? hizo (zako) ni riwaya za kusadikika.

Anae rubunika aamini, asie rubunika hatoamini!
 
Nimepotea, kipi ni uongo kuwa Viktor Bout hakupitishia mizigo yake Tanzania au? hakushirikiana na baadhi ya Watanzania kufanikisha biashara zake?

uongo ni kuwa kwa vile yeye hakusikia harufu basi ina maana mtu hakujamba!
 
Nimepotea, kipi ni uongo kuwa Viktor Bout hakupitishia mizigo yake Tanzania au? hakushirikiana na baadhi ya Watanzania kufanikisha biashara zake?

Jee unajuwa kuwa ukitaka jambo liwe,linakuwa ulitakavyo. Haina maana ndio hali halisi.

Ukisema ''fulani kajamba'', haina maana kuwa hajambi! jee alipojamba, ulisikia harufu au sauti ya ushuzi?
 
Jee, mapanki hayapo? watu hawayali? au ni haramu?

Mimi, kwetu pwani, bila ya kula kichwa cha samaki, awe Pono au Chewa, sina raha! jee, hayo si ma-panki?
 
Jee unajuwa kuwa ukitaka jambo liwe,linakuwa ulitakavyo. Haina maana ndio hali halisi.

Ukisema ''fulani kajamba'', haina maana kuwa hajambi! jee alipojamba, ulisikia harufu au sauti ya ushuzi?

HUjajibu swali langu hayo ya kujamba kila mtu ana jamba.
 
HUjajibu swali langu hayo ya kujamba kila mtu ana jamba.

Ndio. Hapo nadhani umepata jibu, ''kila mtu ana jamba'' na ushuzi unaweza kuwa ni faraja kwa ajambae au atakae ujambe, na ushuzi unaweza kuwa kero, kwa ajambaye na wanao kuzunguka ujambapo.

Ma-panki si haramu!
 
....duuh!!!...kujamba, kunusa, kujamba, kunusa..... i hope haya siyo maswali yatakayo nukuliwa kutoka hapa na kupelekwa kwenye Bunge letu tukufu kuhusiana na hii hoja!!
 
....kujamba, kunusa, kujamba, kunusa..... i hope haya siyo maswali yatakayo nukuliwa kutoka hapa na kupelekwa kwenye Bunge letu tukufu kuhusiana na hii hoja!!

Why not? kwani Bungeni hawa-jambi?
 
Why not? kwani Bungeni hawa-jambi?

....Mkuu DSM, kwa kweli wanaweza kuwa wanafanya hivyo, lakini kwa vile hawatuonyeshi kwenye TBC1 na hawatangazi sauti zake kwenye radio, hiyo yaweza kuwa sababu ya kutufanya sote tusiwe na uhakika wa hilo. Lakini kwa maswala ya hoja kuhusiana na Taifa letu, hayo utakubaliana nami kuwa wanayatangaza na yanaandikwa magazetini.
 
Mag3.. yaani tumewachambulia kila kitu, kuwapepetea, na kuwapikia na kuwawekea mezani.. watakula? I really like you! Huitaji the whole book.. u just need to get some sentences and u know how the story goes and probably even the ending..

sasa kungekuwa na mbunge mwenye akili timamu angeuliza:

Mhe. Spika, mwaka x,y kuna ndege zilizokuwa zinasafirisha silaha zilikamatwa kwenye uwanja wetu wa ndege pale Mwanza. Lakini siku ya pili ndege hizo ziliamuriwa kuruhusiwa. Sasa nina maswali matatu:

a. Ndege hizo zilikuwa ni za nani, zinatoka wapi na kwenda wapi?
b. Kwanini ndege hizo ziliruhusiwa kutua na baadaye kuondoka?
c. Ni nani aliyetoa maagizo kwa uongozi wa mkoa wa Mwanza kuruhusu ndege hizo kuondoka nchini?

Mithili ya kule kwa wenzetu walivyo makini na kujua kutumia nafasi zao kama Wabunge katika nchi zao wanavyouliza....:


Miliband faces MPs' questions over knowledge of rendition

Richard Norton-Taylor
The Guardian,Tuesday 3 March 2009


David Miliband, the foreign secretary, is to be questioned by senior MPs over what he and his officials knew about the ill-treatment and secret interrogation of Binyam Mohamed, the former UK resident recently released from Guantánamo Bay.

The move was announced yesterday by the Commons foreign affairs committee, which said it also intends to investigate other key issues where recent evidence has thrown up uncomfortable questions for ministers to answer.

They are allegations of British complicity in torture in Pakistan, in the US practice of rendering terror suspects to countries where they risked being tortured, and in the transfer of prisoners in Iraq and Afghanistan.

The cross-party Commons committee announced the move as the Foreign Office for the first time admitted it was investigating whether a criminal offence was committed when two CIA aircraft taking prisoners to unknown destinations landed on the British Indian Ocean Territory of Diego Garcia. Miliband and Jacqui Smith, the home secretary, have both refused to appear before parliament's human rights committee to answer questions about allegations of British collusion in the torture of British citizens, according to the Labour committee chairman Andrew Dismore.

The foreign secretary will not be able to refuse to testify before the Commons foreign affairs committee, which was set up to monitor the activities of his department.

Yesterday, the Foreign Office minister, Bill Rammell, admitted that the UK "considered the possibility that criminal offences may have been committed in relation to the two rendition flights through Diego Garcia". He was referring to the use of the US base by the CIA for transferring prisoners.

A year ago Miliband apologised to MPs, admitting that contrary to "earlier explicit assurances" two US flights had landed at Diego Garcia in 2002. Rammell said yesterday that the government had "very limited specific information about these flights". He added that "despite enquiry [officials] have not been able to establish further details that would be essential for purposes of further investigation".

Rammell was answering a parliamentary question from Andrew Tyrie, Conservative MP for Chichester and chairman of the all-party committee on extraordinary rendition.

Source: David Miliband faces MPs' questions over knowledge of rendition | Politics | The Guardian

Mfano mwingine wa hayo huu hapa:


30 July 2006

Tom Harris,
Member of Parliament
Glasgow South

Dear Mr Harris,

As one of your constituents, I am writing to ask for your clarification and intervention regarding the illegal use of Prestwick Airport for the shipment of armaments from the US to Israel.

There have, I believe, been a number of such shipments recently, including at least three Atlas Air cargo flights between San Antonio – Prestwick – Tel Aviv.

Any request to use Prestwick Airport for re-fuelling and accessory purposes must have involved the granting of government exemption certificates and landing authorisation from the Civil Aviation Authority.

I would be greatly obliged if you could tell me specifically what planes and military equipment have passed through this airport, who granted the exemption licences and why did the CAA give its consent.

In response to these contraventions, Professor Philippe Sands, QC, an eminent authority on international law, has also recently stated that there is a prima facie case for the UK or/and individuals within the UK government to be held as criminally liable:

Professor Sands notes that:

"If the United Kingdom is knowingly allowing the United States to re-fuel on shipments of weapons that are being used as part of disproportionate and excessive use of force in violation of international law, then, depending on what the facts are, that could give rise to an international responsibility."

Continued...
-------------
To read more Pls click here

Na Wa-Irish nao hawako nyuma:


Irish refused bombs sent to Prestwick airport

BOMBS destined to be used by Israel are being flown via Scotland only because the Irish government refused to allow them to land on its soil.
Scotland on Sunday can reveal that after the conflict in Lebanon began three weeks ago, Ireland turned down a United States request for planes carrying 600lb so-called bunker busters to refuel at Shannon airport in Co Clare.

As a result, cargo planes carrying the bombs, which the Israeli army is using in its offensive against the Hezbollah, are being flown via Prestwick airport in Ayrshire.

The use of Prestwick triggered a furious diplomatic row last week after it emerged that the US had broken aviation rules by failing to notify Britain about the flights.

That row is intensifying this weekend as two further American planes carrying 'hazardous' material to Tel Aviv land at the airport.

Continued...
----------------
Full article HERE



Bila kuhoji watawala wetu, tutaendelea kuwa Taifa la kutibu athari za majanga na kupanua kopo la kuombelezea misaada!! Wabunge wetu wanaogopa nini kuhoji kashfa na mazingira mbalimbali ya kutatanisha yanayolikumba Taifa letu?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom