luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
Acha wivuSo what!!
Acha wivuSo what!!
Hotel hiyo iliitwaje?
Wizara ya fedha waliimiliki Amir Jamal na Cleopa Msuya kwa mkakati tofautiMarehemu Ahsante Rabi Zephaniah Nsilo Swai alikuwa waziri wa Biashara enzi ya Nyerere sio wizara ya fedha! Wizara ya fedha ilikuwa himaya ya Amir Jamal!
mbona nimeandika hapo kwny para ya kwanza, kuwa nilisoma mahali, ila ni kitambo kidogo.Unaposema ni muda pengine umesahau! Unataka tuamini kuwa wakati huo ulikuwepo duniani? Na ulikuwa jirani ya huyu mama?
Nsilo Swai alipokuwa waziri, Cleopa Msuya alikuwa bado kupata uwaziri!!Wizara ya fedha waliimiliki Amir Jamal na Cleopa Msuya kwa mkakati tofauti