imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,025
- 69,819
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Kama alimsifia kwa ajili ya tumbo lake, haoni Kama ni busara kukaa kimya leo kuliko kulamba matapishi yake?!!Sasa unafiki wake uko wapi kama alikuwa anaimba kumsifia mtu aliemshikia bunduki kichwani??
Mtu kama kashikikilia maslahi yako na unajua katili ..na kila mtu anamuimba apate nafuu why wewe usiunge tela?
QengayFala wewe!
Kilichokuchekesha hapo ni nini?
Nilicho na uhakika nacho ni kwamba ukiwa CCM tunu kuu ni UNAFIKI. UNAFIKI wa kuogofya. Hamuamininiki, hamuaminiani na hamtabiriki. Ngazi zote, umri zote na wa dini zote. Tatizo ni nini? Litaleleka mpaka lini? MUNGU tunakuomba uingilie kati. Happy SundayMagonjwa Mtambuka mtu wangu kalike magoonjwaaaaaa uwiiiii magooooonjwa
DRUMHakukosoa ili kulinda usalama wake.
Mkuu umetushtua sana...una maana gani?
Besti JK kweli hana 1980s disease? Na kama anayo jamaa inaonekana genes zake zina response vema na minjinguKatoka mbali sana hadi kutishia kuvunja ndoa ya Amina Chifupa. Imagine Mpaka njia kapita nae. Ndo sasa akaja kujituliza kwa Jakaya. Akapelekwa London kusoma,alivyo kilaza huko akafeli ndo karudi Tanzania kupewa kazi BOT na JK.
mkuu umetisha.. duh kwa hyo kunawatu walipumua?? AseeeMnafiki mkubwa huyo mbona hakuthubutu kuyasema haya Hayati alipokuwepo ili akione cha Moto vizuri?
Kwahiyo alitaka Hayati nae ampende na hata amtongoze kama alivyotongwa na Mstaafu Mswahili wa Chalinze ambaye alimwandikia namba yake ya Simu katika Simu yake katika Hafla ya CCM Mwanza Hotel 2006 ndipo akawa nae Kimahusiano na mpaka kumpa Vyeo mbalimbali Benki Kuu, katika Taasisi nyingine na Kumpambania awe Mbunge wa Viti Maalum?
Tena angekuwa na 'Akili' angenyamaza.
Comment imenichekesha.Kilichokuchekesha hapo ni nini?
Ni kweli kabisa! Wachina legelege zaidi ya milioni 70, warusi zaidi ya milioni 20 waliuwawa na watawala katili wakina Mao, Stalin - sasa ona nchi hizo maendeleo walio piga! Sisi tunadanganywa kusudi tusiendelee eti democracy.Tanzania inataka ukatili kama miaka 50 hivi kushape jamii.....binafsi naanza harakati za kuwa Rais wa hii nchi na nitakuwa Katili kuliko huyo mnayemsema muache kudekadeka...
Hili linchi lina WAPUMBAVU wengi wanaohitaji ukatili wa hali ya juu tena miaka za 50 hivi ili wakae sawa na jamii mpya ikija iwe ya watu wasiopenda upumbavu na ukijaribu upumbavu unakufa on the spot..
Hiyo ulaya na America mnayokimbilia iliwahi kuwa ma makatili kuliko huyu mnayemuita katili ( late JPM hakuwa katili aisee aliwapenda mno anahitajika katili kuliko yeye).... huko ulaya na america viliwahi kupita vizazi katili ndio maendeleo yakaja ya kweli sio hii sugar coating..
Leo hii Ulaya na America imeendelea na makatili wote wamekabi in back face kwa kazi fulani fulani za kikatili na huko front face imewekewa wanasiasa wanaotabasamu lakini ukatili unaendelea nyuma huko....Ndio waiRaq walinyonga Saadam, Walibya wakamuua Ghadafi, huu ni ukatili wa back stage wa hao mnaowaona wanademocracy...
Bila hii nchi kuwafanyia ukatili wapumbavu na mamia kwa maelfu wakapotea na kufa haiwezi siku kuja kuendelea kwa hayo tunayoita maendeleo ya kweli....
Dah!... anyway ni haki yao kuwa wafuasi.Najua maaskofu wawili au watatu ndio waliokuwa wanasema wazi kwa sababu wao ni wafuasi wa CHADEMA wasiojificha.
Mama Sitta kati ya wanawake we heshima huruma na utu. Mungu amjalie huyu mama maisha marefu na afya njema. You should know you have a son who truly love you so muchIle kulazwa ilikuwa kuua soo tu,hakuwa anaumwa wala nini,awashukuru sana kina Mama Sitta walimsitiri sana kipindi hicho.
Dah!...mmeamua kumwaga ugali....msameheni bhana aliteleza tu.Wewe haujui jamaa aliingia mitini baada ya kugundua Vicky ni HIV positive! Na huo ndo ukweli akampata Likwelile positive mwenzake!
Updates please, nimekua busy sana aisee... nawachukia mno wanawake majambazi wa mali za watoto wa marehemu. Kumbe limeshaangukia pua? halaf kwa exposure gani aliyo nayo? Watoto wa likwe wapo vzr mno upstairs. Tena watu wazima kabisaa. Mjinga kweliKesha angukia pua huko,ndiyo maana unaona makasiriko kama yote
Tatizo la ukatili wa afrika na Tanzania ni ukatili unaoangalia vyama ,yani wa chama hiki akifanya kosa linaonekana ni kosa na wachama hiki akifanya anaonekana ni shujaa . Ukatili wa Afrika unaoangalia Makabila , ukanda n.k. Kwa hali hiyo huo sio utawala wa kunyoosha ila ni utawala wa kutafuta maslahi. Ndio maana unaona watu akipewa madaraka anageuka na kupigania maslahi ya waliompa madaraka badala ya Sharia .Ni kweli kabisa! Wachina legelege zaidi ya milioni 70, warusi zaidi ya milioni 20 waliuwawa na watawala katili wakina Mao, Stalin - sasa ona nchi hizo maendeleo walio piga! Sisi tunadanganywa kusudi tusiendelee eti democracy.
Liulize li johnthebaptist hukoKwan mzee Mgaya anasemaje????
AiseBaada ya yule Serengeti boys kumtosa. Nilimshangaa Likwe kuchukua makapi, lakini
chamoto Likwe alikipata kwa huyo kahaba
Watu ambao ama ni wajinga ama ni wapumbavu na ama ni wanafiki hawawezi kukaa kimyaSasa Kama alimsifia kwa ajili ya tumbo lake, haoni Kama ni busara kukaa kimya leo kuliko kulamba matapishi yake?!!
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo mume wa Vicky alikufa kwa sababu ya ukatili?Ujimbe sio kwa jiwe; ni kwa wanaoishi ili waikanyage dunia ya Mwenyenzi Mungu kwa unyenyekevu. Jiwe anatumiwa kama mfano ulioshuhudiwa na wengi kuwakumbusha walio hai wanaotaka kuendeleza matendo ya aina yake wajifikirie vizuri.
Wengi wanaotendea ukatili binadamu wenzao husahau kuwa hata wao si “invincible”. Kuna siku isiyoyabirika, mkono wa mauti utawafikia. Aidha, ukatili hauna monopoly. Tusipojifunza kupitia historia, tutakuwa kwenye hatari ya kurudia makosa yaleyale.