Nani mhusika mkuu wa huu mbebez.....tunauliza mhusika mkuu maana kunaweza kuwa na wahusika wengine wa hapa na pale.
Nani mhusika mkuu wa huu mbebez.....tunauliza mhusika mkuu maana kunaweza kuwa na wahusika wengine wa hapa na pale.
Kule kwenye bwawa la kuogelea,!Kwa Likwe, ile nyumba waliyokuwa wanakaa kule nyuma kaunganisha kuwa guest house
Sidhani kama angekuwa mwenyewe angekubali, ukiingia ndani kuna masofa ya nguvu ya nyumbaniKule kwenye bwawa la kuogelea,!
duuh si mchezo
Huyo kahaba ameshapoteza mwelekeo, apuuzwe tuMbunge mstaafu Vicky Kamata amesema aliamua kugombea ubunge Kibamba badala ya Geita kwa sababu yeye ni mkazi wa Kibamba na pia mbunge aliyekuwepo alikuwa hajafanya lolote la maana la kuwaletea maendeleo wananchi
Vicky amesema wabunge wote wa Geita walikuwa ni wa CCM na walikuwa wanafanya vizuri sana hivyo isingekuwa busara yeye kugimbea kule ndio sababu aliamua kuja Kibamba kumfurusha J J Mnyika wa Chadema.
Source: Star tv