OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,080
- 103,312
Itakuwaje jumatatu hiyo kwenye magazeti, na media zingine?gazeti gani kucheka, na lipi kununa au kutoripoti kabisa!NiUhuru,Mzalendo au Tanzania Daima kunyamazishwa?Binafsi nahisi itakuwa hivi:
1. .............NI PIGO KUBWA SANA CCM
2.CCM, MWIGULU WAKIMBIA NA MASANDUKU YA KURA
3.NEC YAGOMA KUTANGAZA MATOKEO,yasema miundombinu ya Arusha na Computer zagoma
4.Gazeti la Uhuru.....KIKWETE AZURU IRINGA-irrelevant
5.TBC............MAGUFULI APIGA MKWARA KARIAKOO-irrelevant
Mwanajamii unadhani vichwa vya habari magazeti na media zingine vitakuwaje jumatatu hiyo?
1. .............NI PIGO KUBWA SANA CCM
2.CCM, MWIGULU WAKIMBIA NA MASANDUKU YA KURA
3.NEC YAGOMA KUTANGAZA MATOKEO,yasema miundombinu ya Arusha na Computer zagoma
4.Gazeti la Uhuru.....KIKWETE AZURU IRINGA-irrelevant
5.TBC............MAGUFULI APIGA MKWARA KARIAKOO-irrelevant
Mwanajamii unadhani vichwa vya habari magazeti na media zingine vitakuwaje jumatatu hiyo?