GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Baada ya tarehe 2 oktoba 2011 wananchi wa Igunga kupiga kura za kumchagua Mbunge wao. Kuanzia tarehe 3 oktoba 2011, vichwa mbali mbali vya habari vya magazeti vitakuwa hivi :
- CHADEMA yapigishwa kwata Igunga
- Mgombea Ubunge CHADEMA akataa kusaini matokeo
- Wananchi wa Igunga wamchagua Kafumu
- Dkt. Slaa apata ugonjwa wa moyo kwa matokeo ya Igunga
- CHADEMA yatumia Tshs 2.5 bilioni uchaguzi wa Igunga na kuondoka patupu
- Polisi Igunga yadhibiti vurugu za CHADEMA
- Wananchi Igunga wakesha kusheherekea ushindi wa CCM
- Viongozi wa CHADEMA wapoteana na kulaumiana
- Mbunge wa CCM Igunga ajiandaa kuapishwa bungeni, ashinda kwa kishindo
- Wananchi wa Igunga wafanya maamuzi ya busara kumrudisha Mbunge wa CCM Igunga
- Helikopta ya CHADEMA yarudi yaondoka, mmiliki wake aidai CHADEMA Tshs 1 billion
- Igunga kwawaka moto, viongozi wa CHADEMA waondoka kimya kimya baada yakushindwa