- Thread starter
- #21
wote hapo ni freemason!rais wa marekani alipata muda wa kukaa na hivi vichwa......sijui walikuwa wanaongea nini...namwona steve jobs na ceo wa face book
View attachment 38580
View attachment 38581
the executives who attended the dinner were:
Carol bartz, president and ceo of yahoo!
John chambers, ceo and chairman of cisco systems
dick costolo, ceo of twitter
larry ellison, ceo of oracle
reed hastings, ceo of netflix
john hennessy, president of stanford university
art levinson, chairman and former ceo of genentech
steve jobs, ceo of apple
eric schmidt, chairman of google
steve westly, managing partner and founder of the westly group
mark zuckerberg, president and ceo of facebook
ikitokea unapata muda wa kukaa nao mezani ungeuliza swali gani???
cheki li-kibonde linavyotoa macho!badala ya kukaa na wasomi na engineers kuhusu umeme una uchumi...angalia yeye yupo huku....kweli ndege wanaofanana huruka pamoja..View attachment 38626
Wacha hizo weyee, soma hapa upate kumjuwa Bill gates ni nani, huyo Paul Kidnel anakuja katika historia ya baadae kabisa ya BG:
Bill Gates - Wikipedia, the free encyclopedia
Halafu tazama score yake ya SAT halafu kai compare na hao waliokaa hapo score zao za SAT ndio utajuwa nani ni kichwa zaidi. Unanchekesha!
Bill Gate hajafanya chochote...aliyefanya kazi kubwa ni Gary Kildal....kutengeneza DOS (disk Operating system) mabosi wa IBM waliposhindwana nao kibiashara (walipanga mkutano, siku ilipofika jamaa akaw anacheza na mbwa wake) wakamtumia Bill gate kupata hiyo Disk ikawa sasa ni issue ya Bussiness, walitaka Bill gate awauzie hiyo Disk akakataa akawakodishia...ndia maana mpk leo Bill ana haki miliki ya Windows... kama hujui uliza!!
Wacha hizo weyee, soma hapa upate kumjuwa Bill gates ni nani, huyo Paul Kidnel anakuja katika historia ya baadae kabisa ya BG:
Bill Gates - Wikipedia, the free encyclopedia
Halafu tazama score yake ya SAT halafu kai compare na hao waliokaa hapo score zao za SAT ndio utajuwa nani ni kichwa zaidi. Unanchekesha!
Sipati picha angekuwa JK hapo......... naamini angeomba wamfungulie accounts za twitter, yahoo, etc na Kwa Steve Jobs angeeomba amtupie katoleo kamoja..............
Sipati picha angekuwa JK hapo......... naamini angeomba wamfungulie accounts za twitter, yahoo, etc na Kwa Steve Jobs angeeomba amtupie katoleo kamoja..............
Huwa anawaita ikuluwachezaji wa timu ya taifa ikishinda. That's all. Shame on meJk kaa na vichwa vya kibongo ktk mlo wa japo usiku mmoja