Vicheche ni Soln ya kwenye ndoa??

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
wapo wanaootaabika kwenye ndoa bila kujua tatizo nini
wapo wanaofikiri waume zao wamelogwa na wachawi jinsi walivyooana na jinso maisha wanavyoishi sasa ni tofauti kabisa,wapo wenye akili zao wanakimbilia pale corner bar kufwata wale watoto wadogo cd/aka vicheche
ukifika pale unaona watu wenye heshima zao na wwengine wana suti zao wako na katoto kadogo kamevaa nusu chupi wakifanya makubaliano kuelekea kuzini,,,je ni lazima kuishi na hawa vicheche??je hata kama kuna matatizo kwenye ndoa unaihisi vicheche ni tatizo la ndoa yako,....
acha,zinaa itakuletea magonjwa majumbani mwako;kama una matatizo ya ndoa mlilie yesu mwambie mungu huyu mke ni wangu nimetoa mahari mwenyewe iweje tunaishi hivi;;utaombewa na wachungaji mia ;lakini kama ujaomba ufahamu yawezekana tatizo ni wewe;yawezekana ukoo wenu ndoa azikai kwa amani huo ni mlango unaitaji kupita,wasimamizi ni wabaya katika maisha ya kila siku,wanaamua hatima yako ya maisha,anza kmuuliza mungu tatizo nini;akupe ufahamu utajua jinsi ya kumaliza na familia yako

achana na vicheche;mademu awasaiddii wala kupunguza matatizo yako

GMORNING
 
Hapa hutapata hata mashabiki. Baeleze baelewe. Viewers 65,hamna comments!
Kwa sababu hawapendi ukweli...ila ukweli wenyewe ndio huo. Hamna solution zaidi. Mwenye kusikia na asikie, mwenye kuelewa na aelewe.
Thanks once again for your useful post.
 
Sio kila anaetoka nje na vicheche ana tatizo
la ndoa,

kwani tiger woods alikuwa na tatizo la ndoa?
 
sio kila anaetoka nje na vicheche ana tatizo
la ndoa,

kwani tiger woods alikuwa na tatizo la ndoa?

we una uhakika gani akuwa na matatizo ya ndoa?kazi kweli kweli mada mhh
 
ni
kweli vicheche noma vinaharibu hata program ya maisha ukipiga hesabu ya pesa ambazo umespend kwa ajili ya vicheche zinatosha kumusomesha mudogo wako the most expensive school in Tz
 
penny acha uvivu wa kufikiria ama usikimbizane na muda ukapoteza majadala, matatizo ya ndoa tutofautishe na matatizo ya familia, ila uchoyo wa kuelimishana na kuingia kwenye mahusiano kwa mitazamo tofauti kwa walengwa wenyewe, muda wa ndani anaweza kufanya na kukupa vitu adimu endepo kama mtawekana wazi, tuache kubaniana na tuwe wazi hasa katika tendo hili la ndoa.
 
Wala si solution, ni ukosefu wa mawasiliano mazuri ndani ya ndoa, wengi tunaogopana kuambiana ukweli, nini unataka kwenye malavi davi, utasikia mtu anaenda lalamika nje ya ndoa badala ya kumpasha mwenzi wake live
 
Matatizo kwenye ndoa yapo. Vicheche si solution, lakini hakuna solution ambayo ni foulproof. Matatizo ni kuwa mmetofautiana. Kila mmoja akashikilia msimamo wake! Ukiona watu wengi wanajazana kwa vicheche usifikiri wanapenda au ni wajinga! KUA UYAONE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom