na viroba vya ccm wakati wa uchaguzi je?Rushwa hiyo.
we ni basha wake useme nyumbani kwake hana hiyo tv, miwanaume ya siku hizi mimbea kweli kweli majumbani kwa watu mnatolea mijicho ,kutoa ni moyo sio utajiri unaweza kutoa kitu cha thamani sana ingawa wewe huna hicho kitu sio lazima uwe nacho ndio na wewe utoe!!!!!!!!Nyumbani kwake hana lcd aje awapelekee sokoni? Acheni kujitoa akili kama majuha'milion 9 tv 10 kwa bongo?
we ni basha wake useme nyumbani kwake hana hiyo tv, miwanaume ya siku hizi mimbea kweli kweli majumbani kwa watu mnatolea mijicho ,kutoa ni moyo sio utajiri unaweza kutoa kitu cha thamani sana ingawa wewe huna hicho kitu sio lazima uwe nacho ndio na wewe utoe!!!!!!!!
subiri 2015 utajua ni nani wanguNaona umeishiwa hoja unaleta viroja wewe unavyoshinda JF kumsifia Dr Slaa ni nani yako.
wacha uongo hizo bei za sony ndio kanunua vicent nyerere, bei yake bongo milioni 1.2 hawezi kununua, amenunua kachala za china sony sh300,000 kila runinga moja.