T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
hayo ndio maendeleo wala sio maneno tu. tunataka wabunge wenye vision kama huyu maana anaona mbali sana
maendeleo ya tv za kichina kwa wafanyabiashara?
hayo ndio maendeleo wala sio maneno tu. tunataka wabunge wenye vision kama huyu maana anaona mbali sana
Hizo tv za kichina kumi kwa milioni tisa mbona habari nzito kwelikweli au ndio siasa zenyewe
Kujenga barabara za lami nchi nzima mnabeza,mabasi yaendayo kasi jijini dsm mnabeza lakini tv za kichina ni hongera, kweli asiekujua hakuthamini
Hizo tv za kichina kumi kwa milioni tisa mbona habari nzito kwelikweli au ndio siasa zenyewe
Kweli? labda angepeleka sare za chama kama afanyavyo Nape ndiyo kuwajangea uwezo wa kujinyanyua wenyewe!. Ndugu katika dunia ya leo sekta ya habari imekuwa na nguvu kubwa ya kuleta uwezo wa mtu kujitambua zaidi na kujijengea uwezo binafsi. Tuliyodhania hayawezekani wenzetu wanaweza. Hivyo kupitia kuona na kusikia twaweza kujiinua pia.Hilo soko kama la kariakoo au quality kama sio mlimani city? manake kuwapa luninga sio tatizo sana, changamoto ni usimamizi kwa hivi vitu vya umma na wanasiasa waepuke kutoa vitu manake hawawezi kutoa siku zote na kutoa kwa watu wote. Kutoa kwa mtindo huu ni kutupa uungwana ni kuwawezesha hao wafanyabiashara kununua luninga wao wenyewe. Kuwapa kwa namna hii ni kutupa.
Si mnaona wanapewa luninga wanasema maji yanatuama sokoni, inamaana wanaamini yupo mtu atakuja kuwaondolea maji yanayo tuama, very wrong development approach bora tuwashtue na hawa wabunge vijana waje na ubunifu hili la kutoa ndilo lilowazamisha CCM ijapokuwa lina airtime na coverage ya kutosha.
Jengea watu uwezo wajiinue wenyewe, kuwanyanyua hamtaweza ila wanaweza kujinyanyua wenyewe.
Nyie zenu za kihindi ziko wapi?
Sasa wale mawaziri mabingwa wenye shahada ya kukoroma bungeni tutawaona live wapeni news hii !
Hizo tv za kichina kumi kwa milioni tisa mbona habari nzito kwelikweli au ndio siasa zenyewe
hongera Mh vicent kwa kuonyesha namna ulivyotofauti na baadhi ya wabunge...hata namna unavyochangia mijadara yko bungeni unaonyesha wanamusoma hawakukosea kwamfano ile hoja ya TBS na ukaguzi wa magari nnje ya nchi!
kwenda zako shukuru hata kwa kidogo hau ufundishwi hivyoooooooooooooooRuninga 10 milioni 9? Kweli wanasiasa mmezidi sasa,tv zenyewe za china halafu mwatudaganya kitoto hv?
MMEJENGA KWA HELA YA NANI NA YEYE KANUNUA TV KWA HELA YA NANI?
OOH SIO WA UKOO WA NYERERE......MKAUMBUKA
sisi tunaboresha miundombinu ya barabara,huduma za jamii mfano shule za msingi kila kijiji na sekondari kila kata huku tukihakikisha huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo kasi kwa miji mikubwa kwa kuanzia na dar.
hahahahahah kweli kuna nati moja imekukatika unataka tumpe yule mwakyembe ili mbeya ijitangaze kuwa nchi huru you just watch and see hatuitaki kura yako nafamilia yako nzima na tutashinda kwa kishindo kikubwaHamuwezi kuchukua nchi 2015,labda kilimanjaro ijitangazie uhuru wake na kuitwa nchi,chadema ni chama cha wachaga.Over
Ulitakiwa kumsifu V. Nyerere maana sasa hawa wataweza kuona vivutio vipya vya Dar. Hii itasaidia wao kwenda kutalii huko pia kuangalia hotuba za Vasco D. Au wewe unaona hawastahili.sisi tunaboresha miundombinu ya barabara,huduma za jamii mfano shule za msingi kila kijiji na sekondari kila kata huku tukihakikisha huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo kasi kwa miji mikubwa kwa kuanzia na dar.