englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
Natamani vitu Kama matunda,mboga za majani ndo vingekuwa vinanenepesha..!alafu chips,burger,pizza na mazagazaga ndo vingekuwa vya diet..!😡
Natamani vitu Kama matunda,mboga za majani ndo vingekuwa vinanenepesha..!alafu chips,burger,pizza na mazagazaga ndo vingekuwa vya diet..!
nahisi ningekuwa mwembamba sana......................, maana kula matunda hadi niandikiwe na daktari.
wacha nijaribu, maana msimu wa matunda ndio huujitahidi uwe unakula matunda mama.....!