BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
- Thread starter
- #41
False information! And yet you are unable to come up with accurate info of what trasnpired. We jamaa kwa kuzungusha maneno umetia fora! Acha unafiki wako fungua akili Mkuu badala ya kukubali kutumika kutetea ujinga na uozo unaoendelea nchini.
Wewe mwenye kujua ukweli wa kile kilichojiri tuwekee ukweli huo ili na sisi wenye false information pia tuujue ukweli halisi.
Unazungusha zungusha maneno without any single evidence to support your arguments.
Niliyoyaandika mimi kuhusu ukwapuzi wa nyumba, kulidanganya Bunge kuhusu upotevu wa mabilioni ya pesa za walipa kodi na kununua boti uozo la bilioni 8 yote haya yamo ndani ya ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali ambaye alifanya uchunguzi wa kina na wa muda mrefu kabla ya kufikia hitimisho lake. Na aliyehusika na ufisadi huu ni Magufuli.
Acha kutumika kutetea maovu nchini. Fungua akili yako ili uanze kutetea maslahi ya Tanzania na Watanzania badala ya kutetea wale wasiostahili kutetewa kwa namba yoyote ile.
Jiulize kwa nini mkewe alikataa kumfanyia kampeni!?
Wewe mwenye kujua ukweli wa kile kilichojiri tuwekee ukweli huo ili na sisi wenye false information pia tuujue ukweli halisi.
Unazungusha zungusha maneno without any single evidence to support your arguments.
Niliyoyaandika mimi kuhusu ukwapuzi wa nyumba, kulidanganya Bunge kuhusu upotevu wa mabilioni ya pesa za walipa kodi na kununua boti uozo la bilioni 8 yote haya yamo ndani ya ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali ambaye alifanya uchunguzi wa kina na wa muda mrefu kabla ya kufikia hitimisho lake. Na aliyehusika na ufisadi huu ni Magufuli.
Acha kutumika kutetea maovu nchini. Fungua akili yako ili uanze kutetea maslahi ya Tanzania na Watanzania badala ya kutetea wale wasiostahili kutetewa kwa namba yoyote ile.
Jiulize kwa nini mkewe alikataa kumfanyia kampeni!?
Mkuu huwezi kutoa source then unakataa kukubali kwamba argument yako ipo-based na hizo source/s, kubishana ki-JF mpya without facts is a waste of time. Based on the sources you have provided there is no need for me to continue; that is why I told you, what you know is not enough to understand the process of government workings etc. You need to know more than what Rai has provided or whoever has given you those false information before you make an informed decision. Based on that, I am quite confident that you do not know what transpired and hence your emotions has taken over.
Mkuu huwezi kutoa source then unakataa kukubali kwamba argument yako ipo-based na hizo source/s, kubishana ki-JF mpya without facts is a waste of time. Based on the sources you have provided there is no need for me to continue; that is why I told you, what you know is not enough to understand the process of government workings etc. You need to know more than what Rai has provided or whoever has given you those false information before you make an informed decision. Based on that, I am quite confident that you do not know what transpired and hence your emotions has taken over.