Vibwengo ni mizimu au jamii ya majini

Naomba niulize swali mkuu, Kuna baadhi yetu tumekuwa tumekuwa tukichanganya madhabahu katika suala la kutafuta auheni, Leo upo kwa mganga, keshokutwa kanisani. Je hii inaweza kuleta impact hasi zaidi katika kile unachokihitaji na yasionekane mabadiliko yoyote, na ni jinsi gani tunaweza kujiondoa kweny madhabau moja ya kigiza, maana Kuna vitu haiko sawa mpaka nahis kn mkorogo nilishawahi ufanya
Process za kufanyaje chief
 
Naomba niulize swali mkuu, Kuna baadhi yetu tumekuwa tumekuwa tukichanganya madhabahu katika suala la kutafuta auheni, Leo upo kwa mganga, keshokutwa kanisani. Je hii inaweza kuleta impact hasi zaidi katika kile unachokihitaji na yasionekane mabadiliko yoyote, na ni jinsi gani tunaweza kujiondoa kweny madhabau moja ya kigiza, maana Kuna vitu haiko sawa mpaka nahis kn mkorogo nilishawahi ufanya
Nuru na Giza havichangamani. Unapo ruhusu ufalme wa giza kufanya kitu katika maisha yako, ufalme wa nuru ( ki protocol ) unakuwa kama ume u brock kufanya kazi. Ukishakuwa na nia mbili huwa ngumu kutoboa. Kujitoa sehemu moja ni rahisi tu, ni maamuzi ndani ya nafsi yako ( hatua ya kwanza ), kanisani tubu na kuomba rehema, vunja kila mikataba uliyo ingia huko upande wa giza, achia damu ya Yesu na kujiaondoka katika hizo madhabau na kufuta kila taarifa zako mahala huko , but pia ku present case yako mbele ya madhabau kwa kutumia maandiko sahihi juu ya kuvunja laana ambayo unakuwa umeeingiza baada yankwenda kwa mganga.. kwa imani au kama ukipata mtu aliekomaa kwa mambo ya rohoni anaeza kukupatia mwingozo mzuri zaidi
 
Naomba niulize swali mkuu, Kuna baadhi yetu tumekuwa tumekuwa tukichanganya madhabahu katika suala la kutafuta auheni, Leo upo kwa mganga, keshokutwa kanisani. Je hii inaweza kuleta impact hasi zaidi katika kile unachokihitaji na yasionekane mabadiliko yoyote, na ni jinsi gani tunaweza kujiondoa kweny madhabau moja ya kigiza, maana Kuna vitu haiko sawa mpaka nahis kn mkorogo nilishawahi ufanya
Hapo nikuwa vuguvugu, bible inasema ukiwa vuguvugu utatapikwa, chagua moja, kufuata vimbwego au Mungu mkuu aliye hai!
 
Simple altars unaweza amka asubuhi na uka point sehemu moja kuwa ni sehemu yako ya kuwakilisha hoja zako mbele za Mungu na ukaweka na chombo chako cha sadaka tayari hiyo ni adhabau. Mashahidi wa madhabu au tunaita watchers ni aina ya malaika ( heavenly being ) huchukua record ya kila tukio linalo fanyika


Asante kuhani nimekusoma toka mwanzo hongera kwa kutupatia hii elimu.

Kutokana na hii madhabahu ya nyumbani kama ulivyosema hapo juu, nimewahi kusikia pia kwa watumishi kadhaa juu ya kutenga madhabahu nyumbani iwe ndiyo sehemu ya kusomea neno na kusali. Swali langu kwako, hapo mahali nitakapopatenga ina maana sitakiwi kupita hapo au kufanya shughuli nyingine yoyote siyo? Sasa mf. Kama ni chumbani natengaje?
 
Asante kuhani nimekusoma toka mwanzo hongera kwa kutupatia hii elimu.

Kutokana na hii madhabahu ya nyumbani kama ulivyosema hapo juu, nimewahi kusikia pia kwa watumishi kadhaa juu ya kutenga madhabahu nyumbani iwe ndiyo sehemu ya kusomea neno na kusali. Swali langu kwako, hapo mahali nitakapopatenga ina maana sitakiwi kupita hapo au kufanya shughuli nyingine yoyote siyo? Sasa mf. Kama ni chumbani natengaje?
Ujue wewe mwenye hapo ulipo ni madhabau inayotembea. Kutenga eno flani kwa ajiri ya ibada haikuzui wewe kufanya movement zako. Kwa wenye uwezo wa mahel mengi ndio hujenga sehemu maalumu. Ila kwa wa kawaida unaeza fanyia siting room. Mie madhabau yangu ipo chini ya kitanda mwanzo mwwzo sio kati kati.. si unakumbuka mtoto Samuel alipokuwa nalala kwenye hekalu ambalo kuna sanduku la agano ?😃😃😃
 
Ujue wewe mwenye hapo ulipo ni madhabau inayotembea. Kutenga eno flani kwa ajiri ya ibada haikuzui wewe kufanya movement zako. Kwa wenye uwezo wa mahel mengi ndio hujenga sehemu maalumu. Ila kwa wa kawaida unaeza fanyia siting room. Mie madhabau yangu ipo chini ya kitanda mwanzo mwwzo sio kati kati.. si unakumbuka mtoto Samuel alipokuwa nalala kwenye hekalu ambalo kuna sanduku la agano ?😃😃😃

Sasa Kuhani embu naomba niambie madhabahu chini ya kitanda unasalije au ukikaa juu ya kitanda ni sawa? Nahitaji sana hili somo nilishatamani kuwa na madhabahu home ila mwongozo jinsi ya kuandaa, nahisi wenzetu waislamu wametupiga gape maana wao wanaandaa kabisa pakuswalia. Nakusikiliza
 
Sasa Kuhani embu naomba niambie madhabahu chini ya kitanda unasalije au ukikaa juu ya kitanda ni sawa? Nahitaji sana hili somo nilishatamani kuwa na madhabahu home ila mwongozo jinsi ya kuandaa, nahisi wenzetu waislamu wametupiga gape maana wao wanaandaa kabisa pakuswalia. Nakusikiliza
Naomba kesho nikuelekeza vizuri zaidi mkuu,nitakutumia hata voice nkwenye PM yako. Hapa nimetoka safarini na wenge la usingizi.. Ila madhabau unakumbuka pale alipo lala Jakobo ( Israel ) pale ilikuwa ni nyumba ya Mungu, na aliposhtuka akalimwagia lile jiwe mafuta na kulisimamisha.. kama unakumbuka huto shangaa madhabau yangu kuwa chini ya kitanda... ila nitakueleza why
 
Naomba kesho nikuelekeza vizuri zaidi mkuu,nitakutumia hata voice nkwenye PM yako. Hapa nimetoka safarini na wenge la usingizi.. Ila madhabau unakumbuka pale alipo lala Jakobo ( Israel ) pale ilikuwa ni nyumba ya Mungu, na aliposhtuka akalimwagia lile jiwe mafuta na kulisimamisha.. kama unakumbuka huto shangaa madhabau yangu kuwa chini ya kitanda... ila nitakueleza why

Pole kwa uchovu mkuu, pumzika tukijaliwa kesho uje na nondo. Nimefurahi umenikumbusha habari ya Jacob
 
Habari za jioni, aise leo nimefikiria zamani hizo kuhusu shuhuda za watu mbali mbali waliowahi kukutana na aina ya watu wafupi sana wakati wa usiku hasa boarding schools (vibwengo) je kwenye hili kuna ukweli kwenye hili wewe ni miongoni mwao ilikuwaje na wanafananiaje, na lengo la hawa viumbe hasa huwa ni nini, na Kwanini kipindi hiki hawapatikani ni wamepotelea wapi, Mwenye uelewa na hili embu tuambiane
Kuna watu wanawafanya vibwengo kama vitoweo
 
Nakumbuka zamani kidogo nikiwa namsindikiza mzee mmoja Kwake akitokea kwa babu yangu tulikua tukipiga story za dizaini hii.Tulipita pahala kuna soko la jioni watu wamejazana ilikua mida ya saa mbili usiku,ndipo mzee huyu akanambia unataka kuona inavyokua nikamjibu ndio, akadai nisionyeshe hofu. Basi bana akanipakaa vijidawa flani machoni, niliona mambo ya kutisha sasa sijui ndo vibwengo, ni ķama vitoto lakini vichwa Vyao nivibabu na vibibi. Pia hapo niliona bàadhi ya wamama wakiwa uchi na Wengine wamekalia mafuvu ya vichwa vya watu. Pia baadhi walionekana kama wendawazimu. Yule mzee aliniambia umetosha nikamwambia ndio. Basi akanipakaa dawa nyingine nikaona mambo yamekua kawaida. Badala ya kuendelea kumsindikiza ilibidi yeye tena anirudishe home, tulipofika tulimkuta babu akauliza vp ameona hapo nikagundua nilikua nafunzwa kitu. Mpaka kesho maeneo haya sili wala situmii muda mwingi kuwepo. Babu alinambia nisije pakwa dawa hii tena kwani huharibu macho.
Duuh aisee
 
Mkuu nimefuatilia nondo zako aisee nimekukubali unajua vitu na ningetamani kujifunza zaidi juu ya elimu hii ...kutokana na feedback niliyoiona ni watu wengi pia wapo interested katika hili.

nina ombi kama hutojali tuwe na ka group ketu whatsapp tuwe tunajifunza juu ya elimu hii hata mara moja kwa week pls
Naomba kesho nikuelekeza vizuri zaidi mkuu,nitakutumia hata voice nkwenye PM yako. Hapa nimetoka safarini na wenge la usingizi.. Ila madhabau unakumbuka pale alipo lala Jakobo ( Israel ) pale ilikuwa ni nyumba ya Mungu, na aliposhtuka akalimwagia lile jiwe mafuta na kulisimamisha.. kama unakumbuka huto shangaa madhabau yangu kuwa chini ya kitanda... ila nitakueleza why
 
Mkuu nimefuatilia nondo zako aisee nimekukubali unajua vitu na ningetamani kujifunza zaidi juu ya elimu hii ...kutokana na feedback niliyoiona ni watu wengi pia wapo interested katika hili.

nina ombi kama hutojali tuwe na ka group ketu whatsapp tuwe tunajifunza juu ya elimu hii hata mara moja kwa week pls
Tutaendela shusha nondo kibao, hata hapa hapa mkuu.. napokea maswali yoyote hapa hapa na tunayajibu hapa hapa.. leo tunaendelea mda si mrefu wazo lako la whatsapp ni zuri pia, ila hapa JF naona ni pazuri zaidi kwasababu ya uwazi wake
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom