tungesema kanunuliwa na magambaWakuu, hivi hiyo habari ingekuwa imetolewa na MwanaHalisi mngesemaje?
tungesema kanunuliwa na magambaWakuu, hivi hiyo habari ingekuwa imetolewa na MwanaHalisi mngesemaje?
Wana JF habari;
Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM (Uhuru FM) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba silaha kama Marungu, Panga na Bunduki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga kama maandalizi ya kufanya vurugu j2 kwenye uchaguzi.
Kwa mjibu wa redio CCM wanasemekana ni Vijana wa CDM waliosafirishwa kufanya vurugu hizo. Wadau mlioko maeneo husika Habari hiz ni za Ukweli? Au ni visingizio tu, manake siamini kama kweli hii ikitu inaweza kutokea, na sijui wamewajuaje kama ni watu wa CDM.
Naombeni kwa mwenye taarifa zaid atujuze!
Huyo bwana yako sabodo ni kada wa c.c.m kuliko wewe lakini anakubali sera za cdm sembuse wewe chokest soda anasa! Kwee kwee kwee!! Kweli wewe pust.hapo kwenye nyekundu ni kwamba taarifa za uhakika huwa hazina kawaida ya kudai bali huwa zinaeleza kwa kuwa tayari zina uhakika! pili si mara ya kwanza kwa chadema kudai kuna kura za wizi,rejea mwaka jana kule tunduma mlipodai masanduku ya kura yameingizwa nchini kumbe vipodozi na msivyo waungwana mpaka leo mmeshindwa hata kuomba radhi wakati ile ilikuwa ni fitna ambayo ingeweza kuligawa taifa vipande,tatu,msipoanza kusema uongo kama huu hamtaonewa huruma na mengi na akina sabodo tena make wamekufadhilini magari na helkopta so mnatengeneza mazingiira ya kuwa pleased! bye,tarehe 2 october kichapo kikali igunga
Kama sikosei katika nchi za Magharibi kuna vyuo vinatoa shahada za Public Misinformation! Nawashauri CCM wapeleke watu wao huko kwa sababu hawana kabisa uwezo wa kutunga uongo na sisi wananchi tukadanganyika! Tinde ni mbali kidogo na Igunga, unapita kwanza Nzega ambayo ni njia panda ya kwenda Kahama na baadae Kigoma au hata Kagera, Tabora (kwa maana ya makao makuu ya mkoa) na hiyo ya kuja Igunga Singida hadi Dsm. Maswali walijuaje mabasi yalikuwa yanaenda Igunga (kama ni kweli waliyakamata) na sio kwingineko? Hao watuhuwa wako wakoje hadi waseme wanatokea Mara? Silaha walizostukia zilikuwa kwenye mabegi au mikononi au ilikuwakuwaje hadi wakawa na mashaka na hayo mabasi au ni taarifa za kiinteligensia?
Mkuu, unajua yalianza hivihivi kule Ruanda??!!!Hii redio haina tofauti na ile ya Rwanda, CCM, Vyombo vya habari na baadhi ya Wana habari iko siku watalipia vitendo vyao.
hawa na redio yao tuwaeleweje?
si wameenda kuwaomba CDM kufanya kampeni za kiungwana?
hata kama wamekata gari la namna hiyo, haitoshi kutoa taarifa kituoni na kuwaachia vyombo vya dola kama vipo vifanye uchunguzi kisha vitoe taarifa?
N je ikibainika walikodiwa na CCM tuwaelewe vipi na huku wameshawachafua CDM?
Kama uyazungumzayo ni ya kweli, kuna ulazima wa kuwauwa CCM wote tuanze upya
usiogope mkuu. labda tujiulisa anauhakika gani na hesab yake?
Wengi wao ina maana 89% wamekutwa na kadi za cdm, hizo 11% wamesahau kadi zao home.
Angalau tungejaribu kuutafuta ukweli wake halafu tungejadili kwa ukweli wake au uongo wake. Tatizo hapa ni kwamba nature, mazingira na source ya habari haviaminiki. Na mkishamfahamu mtu kuwa ni mwongo, hata akisema ukweli, hamuwezi kuamini!
tungeiamini kwa sababu si wasema ovyo
tungesema kanunuliwa na magamba
Huyo ashaimadrasa thread. achana naye
Wana JF habari;
Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM (Uhuru FM) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba silaha kama Marungu, Panga na Bunduki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga kama maandalizi ya kufanya vurugu j2 kwenye uchaguzi.
Kwa mjibu wa redio CCM wanasemekana ni Vijana wa CDM waliosafirishwa kufanya vurugu hizo. Wadau mlioko maeneo husika Habari hiz ni za Ukweli? Au ni visingizio tu, manake siamini kama kweli hii ikitu inaweza kutokea, na sijui wamewajuaje kama ni watu wa CDM.
Naombeni kwa mwenye taarifa zaid atujuze!
duh, kuimaidrasa ndio nini tena?
matamko kurupushi au fanya reja reja!