Kilichonisutua zaidi ni kusikia jinsi yule reporter wao aliyekua ameunganishwa live toka Tinde akitoa karipio kwa viongoz wa CDM. Sijui yeye amethibitisha vp tukio hilo had atoe karipio direct kwa CDM.
Tukio litakua la kweli lakini walioanda njama hizo ndo bado ni kitendawili. Kwani kelele na vurugu zilikua zinasikika live redion, maaskari kadhaa wamemwagwa huko.
Watuhumiwa naskia ni mchanganyiko Mabinti na Vijana wa kiume,maaskari waliokuwepo mapema asbh walikuwa wakiuume kitu kilichowafanya washindwe kuwakagua watuhumiwa wa kike!.
Sasa maswali ya kujiuuliza wamejuaje kwamba wamtoka Mara? Kama hawajawaanda wao wenyewe?.
Siasa nimekubali ni mchezo mchafu,ukiweza kumchafua mwenzako ndo mafanikio yako.
Tukio litakua la kweli lakini walioanda njama hizo ndo bado ni kitendawili. Kwani kelele na vurugu zilikua zinasikika live redion, maaskari kadhaa wamemwagwa huko.
Watuhumiwa naskia ni mchanganyiko Mabinti na Vijana wa kiume,maaskari waliokuwepo mapema asbh walikuwa wakiuume kitu kilichowafanya washindwe kuwakagua watuhumiwa wa kike!.
Sasa maswali ya kujiuuliza wamejuaje kwamba wamtoka Mara? Kama hawajawaanda wao wenyewe?.
Siasa nimekubali ni mchezo mchafu,ukiweza kumchafua mwenzako ndo mafanikio yako.