Wana JF habari;
Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM(Uhuru fm) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba siraha kama Marungu,Panga na Bundiki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga
Yaani watu wa Mara ndo wenye vurugu, wagomvi, na wavuta bangi!
Ole wetu Watanzania, tunapelekwa kubaya na Wanasiasa uchwara, ambao hawajo kuachia madaraka kwahiyari.
Hii habari haina ukweli ndani yake labda uwe umeishia madrasa
Wana JF habari;
Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM(Uhuru fm) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba siraha kama Marungu,Panga na Bundiki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga kama maandalizi ya kufanya vurugu j2 kwenye uchaguzi.
Kwa mjibu wa redio CCM wanasemekana ni Vijana wa CDM waliosafirishwa kufanya vurugu hizo.
Wadau mlioko maeneo husika Habari hiz ni za Ukweli?.Au ni visingizio tu,make siamini kama kweli hii ikitu inaweza kutokea,na sijui wamewajuaje kama ni watu wa CDM.
Naomben kwa mwenye taarifa zaid atujuze!
Nadhani hawa watu wataenda Jera tu, Hebu tukumbushane ule mwaka wamekamata makontena ya visu vya Cuf kwa ajiri ya kuvunja amani kesi yao iliishaje vile?Kumbe ni redio ya CCM? Hamna haja ya kuchangia hapa..
You are sinking. Vatican ilisifia lini?habari ni ya kweli? au ndo stail ya yale makontena ya majambia ya kafu? Halafu vatican wanasifu amani bongo
Wana JF habari;
Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM(Uhuru fm) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba siraha kama Marungu,Panga na Bundiki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga kama maandalizi ya kufanya vurugu j2 kwenye uchaguzi.
Kwa mjibu wa redio CCM wanasemekana ni Vijana wa CDM waliosafirishwa kufanya vurugu hizo.
Wadau mlioko maeneo husika Habari hiz ni za Ukweli?.Au ni visingizio tu,make siamini kama kweli hii ikitu inaweza kutokea,na sijui wamewajuaje kama ni watu wa CDM.
Naomben kwa mwenye taarifa zaid atujuze!