Vibweka nyumba za kupanga, unakumbuka nini?

Nakumbuka zamani kidogo nilipanga chumba na sebule uswahilini vyumba vya uani. Mama mwenye nyumba alikuwa na mtoto wa dada yake wa kike anaishi naye. Huyu mtoto wa dada yake alikuwa na mtoto mdogo. Kwa sababu ya ubusy nikawa nampa hela yule dada anifulie nguo na hii ilimsaidia angalau kupata kipato. Mara nikirudi kutoka kwenye mizunguko yule dada alikuwa anakuja kwangu tunapiga story baadaye anaondoka. Sikuwahi hata kidogo kumtamani wala kuwaza kulala naye. Kipindi kile mdada mwenye mtoto mdogo hata anipe bure nilikuwa siwezi.

Siku moja rafiki yangu mmoja mwenye mazoea na yule mama akaja kuniambia mama mwenye nyumba anasema umempa mimba mtoto wa dadake. Dah! nikamuuliza yule rafiki yangu, yule mama nakaa naye nyumba moja kwanini asiniambie akuambie wewe? nikaona isiwe tabu. Asubuhi yake nikamvaa yule mama. Nikamwambia nasikia taarifa nimempa ujauzito mwanao? yule mama akasema afadhali umekuja. Yule mdada akaitwa. Nikamuuliza mbele ya mama. Nasikia nimekupa ujauzito? yule dada akaruka 'mimi ? nani kasema? mi hujanipa ujauzito'

Kabla ya hapo kama wiki moja hivi iliyopita yule mdada alikuwa ameniambia ana mazungumzo na mimi ila mambo yangu kifedha yalikuwa sio mazuri. Nilijua anataka hela. Kwa hivyo nikampotezea. Nikamwambia kuna sehemu nawahi nikirudi basi tutaongea. Hapo ndipo nikaunganisha dots. Kumbe labda siku ile alikuwa anahitaji msaada wangu kuhusu ujauzito.

Story ndefu ila siku mbili baada ya kumwuliza yule dada kama nina ujauzito wake mbele ya mama yake. Jioni wakati nimerudi nikakuta hirizi mlangoni kwangu. Nikaikota hiyo hirizi nikaifungua ndani kuna karatasi ina maandishi mekundu ya kiarabu na kucha. Baadaye nikampelekea mchungaji wangu tukaichoma moto.

Nilikuja kuhama ile nyumba na nasikia mtoto alizaliwa na akapewa jina langu. Sikuwahi kufatilia kwa sababu hata chuchu za huyo dada achilia mbali papuchi sikuwahi kushika. Maisha ya kupanga bwana.
Wema unaponza ,Kuna watu ukiwasaidia ni kama unatafuta matatizo, ni Bora mtu akuone wa mbuzi kuliko kuwa social mwishowe muonane wabaya.kuna watu wana tembea na mikosi..ya ukoo.
 
Ila cjui ni mazoea au nn,Kipindi nipo chuo mwenge nilipanga single room tulikuwa watu 5 ,Kuna jamaa mmoja alikuwa ana tabia ya kukojoa bafuni ,hata iwe vip lazima akojoe bafuni na hamwagi maji,nasikuwahi pata majibu ni kwa nn akojoe bafuni na c chooni,Ina fika Mahal adi ukuta una michirizi ya mkojo wake na harafu balaa.sasa baadhi tuliojuwa tukaacha kutumia bafu kwa sababu ya mchiz,ubaya zaidi karibia wapangaji wote hawapendi safisha choo,kunakipindi choo kinabadilika rangi na hamna mtu wakujigusa ,ukipanga mazamu ndio kabisa utajikuta anaenza ni aliye panga zamu wanaofuta wanakiacha hivyo hivyo.
#kupanga na wapangaji wasijielewa ni kazi hasa USAF wa bafu na choo.
 
Daaah!!kuna jamaa alikua fundi pikipiki akirud anatukuta tumefungulia mziki kwa saut!!akatuambia oya punguzen saut,tukamjibu kila mtu na starehe yake jamaa akasema poa,akaondoka afu akarud na bonge la baja akaingia nalo ndani!!akaliwasha afu akawa anavuta mafuta aisee nyumba nzima tukatoka,akasema kila mtu na starehe yake huku kashika bonge la spana!!nyie pigen mzik mi na baja langu afu asogee mtu nimpasue na spana!!
Hahahaaha mkuu huyu ndo babalaooo
 
Mimi nimekutana na mmoja yeye alikuwa kama mimi yaani akitoka asubuhi kurudi jioni tena usiku sasa likaja suala la kuchangia maji ikawa tunalipa sawa bila kupunguziwa ikiwa pale tulkuwa tunakaa 'na watu wana familia zao baada ya kuwaambia wapangaji wenzake hamna aliyemuelewa alichokifanya ikawa Kila akirudi usiku anakwenda kufungulia maji halafu 'na kwenda kulala wala hayafungi akiulizwa anakwambia anafanya vile ili watu waende sawa maana yeye mchana hatumii maji
 
Mimi nimekutana na mmoja yeye alikuwa kama mimi yaani akitoka asubuhi kurudi jioni tena usiku sasa likaja suala la kuchangia maji ikawa tunalipa sawa bila kupunguziwa ikiwa pale tulkuwa tunakaa 'na watu wana familia zao baada ya kuwaambia wapangaji wenzake hamna aliyemuelewa alichokifanya ikawa Kila akirudi usiku anakwenda kufungulia maji halafu 'na kwenda kulala wala hayafungi akiulizwa anakwambia anafanya vile ili watu waende sawa maana yeye mchana hatumii maji
ikawa Kila akirudi usiku anakwenda kufungulia maji halafu 'na kwenda kulala wala hayafungi akiulizwa anakwambia anafanya vile ili watu waende sawa maana yeye mchana hatumii maji
 
Mimi nimekutana na mmoja yeye alikuwa kama mimi yaani akitoka asubuhi kurudi jioni tena usiku sasa likaja suala la kuchangia maji ikawa tunalipa sawa bila kupunguziwa ikiwa pale tulkuwa tunakaa 'na watu wana familia zao baada ya kuwaambia wapangaji wenzake hamna aliyemuelewa alichokifanya ikawa Kila akirudi usiku anakwenda kufungulia maji halafu 'na kwenda kulala wala hayafungi akiulizwa anakwambia anafanya vile ili watu waende sawa maana yeye mchana hatumii maji
Huyu kilaza kweli😅😅
 
Daaah!!kuna jamaa alikua fundi pikipiki akirud anatukuta tumefungulia mziki kwa saut!!akatuambia oya punguzen saut,tukamjibu kila mtu na starehe yake jamaa akasema poa,akaondoka afu akarud na bonge la baja akaingia nalo ndani!!akaliwasha afu akawa anavuta mafuta aisee nyumba nzima tukatoka,akasema kila mtu na starehe yake huku kashika bonge la spana!!nyie pigen mzik mi na baja langu afu asogee mtu nimpasue na spana!!
Aisee nimecheka
 
Kwakweli maisha ukikumbuka ulikotoka na ulipo. Nakumbuka nilikuwa naishi na mjomba wangu Ilala Mtaa wa Kilosa nyumba za National Housing. Tatizo kubwa ni kujaa kwa choo na akivutwi. Wapangaji ni SIta sawa na idadi ya vyumba. Vile vyoo, ukiingia kujisaidia lazima uwe na trick ya kukusaidia maji ya juu yanayoruka juu yasikuguse makaliono. Inbidi unye kwa timing, immediately unaposhusha mzigo wewe unaruka juu bila hivyo......

QUOTE="Saint Ivuga, post: 15096416, member: 11702"]Ha ha ah dadeki
[/QUOTE]
 
Mie nilifanya hivi!! nikibanwa haja wala isiwe tabu nakunya kwenye lambo vizuri!then naikunja flani ivi unakuwa km mpira hivi!! watoto wanaweza chezea! halafu nafunga vizuri sana! nakihifadhi kwenye kindoo cha plastic, usiku nikitoka matembezini naondoka nako!! nakatupa jalalani.

kuoga na kufua nilikuwa na mjibeseni mkubwaaa naingia mzimamzima naoga weee! yale maji ntamwaga kidogo kidogo usiku wkt wamelala! halafu naondoka asubuhi sana narudi usiku sana naingia kwangu kimyaaa!

jiko langu kubwa ukipika ni kila kitu basi nilikuwaga sieleweki! some times km krismass ili kusave mapene siendi popote nashinda ndani kimyaa km hakuna mtu vile! hata wkt mwingine napotea km week ivi! sipo lkn simwambii mtu! sikuwahi kuibiwa hata!

nikinunua kiti moto kilo tano unakatiwa na kitunguu kabisaa, nyanya kabisaa! ukifika weye pika tu! nahifadhi nakula pole pole!
 
Mie nilifanya hivi!! nikibanwa haja wala isiwe tabu nakunya kwenye lambo vizuri!then naikunja flani ivi unakuwa km mpira hivi!! watoto wanaweza chezea! halafu nafunga vizuri sana! nakihifadhi kwenye kindoo cha plastic, usiku nikitoka matembezini naondoka nako!! nakatupa jalalani.

kuoga na kufua nilikuwa na mjibeseni mkubwaaa naingia mzimamzima naoga weee! yale maji ntamwaga kidogo kidogo usiku wkt wamelala! halafu naondoka asubuhi sana narudi usiku sana naingia kwangu kimyaaa!

jiko langu kubwa ukipika ni kila kitu basi nilikuwaga sieleweki! some times km krismass ili kusave mapene siendi popote nashinda ndani kimyaa km hakuna mtu vile! hata wkt mwingine napotea km week ivi! sipo lkn simwambii mtu! sikuwahi kuibiwa hata!

nikinunua kiti moto kilo tano unakatiwa na kitunguu kabisaa, nyanya kabisaa! ukifika weye pika tu! nahifadhi nakula pole pole!
Mie nilifanya hivi!! nikibanwa haja wala isiwe tabu nakunya kwenye lambo vizuri!then naikunja flani ivi unakuwa km mpira hivi!! watoto wanaweza chezea! halafu nafunga vizuri sana! nakihifadhi kwenye kindoo cha plastic, usiku nikitoka matembezini naondoka nako!! nakatupa jalalani.
 
Mimi sijakutana na shida sana ila kuna kipindi nimetoka chuo nikawa nimepata kazi Njombe. Nilikuwa na chumba sebule na sehemu ya kupikia ila choo tunashare it wasn’t bad ila Usafi ilikuwa inasumbua sio sana , sasa kasheshe kuna dada tulikuwa tu tunafanya naye kazi weekend nimelala anakuja anagonga jirani amka Leo hatunywi chai daaah na kama nikipika vitu vya kutafuna kama karanga atakuja mpaka ziishe

Na hiyo ilikuwa mara ya kwanza kuishi na watu apart from my family nikapanga nitafute nyumba nyingine self contained ishu za kushare vyoo sio
Luckily nikapata kazi Dar nikakaa home kidogo nikapanga nyumba yangu bachelor apartment self contained najitegemea umeme ila maji tunashare haifiki 10,000 kwa mwezi it’s really a nice place mama msomi hana shida kila mtu ana time yake
 
Kwa mtogole mwamba alikula mama mwenye nyumba na mwanae ,

wakaja kujuana sikumoja ilikua mshike mshike aliletewa kigoma na wazaramo watu wanakatika kwelikweli,
akasutwa mubashara

Nadhani ndio ilikua sababu ya mwamba kuhama
Hahahaha
 
Mi na sista angu tulipanga chumba Unguja wakati fulani kwa muda wa miezi 3 ambao tulikuwa field .
Yani ilikuwa ndo mara yetu ya kwanza kupanga lakini tulikutana na masharti makubwa kuliko hata umri wetu.
1. Wageni jinsia ya kiume hawaruhusiwi kabisa hata kama ni mzazi wako.
2. Marufuku kusikiliza nyimbo za dini ( za kikristo)
3. Haturuhusiwi kurudi nyumbani zaidi ya saa 4 usiku hata kama tunatoka kazini.
4. Ni marufuku kuongea chooni na ikitokea umevunja sharti hilo litakalokukuta ni juu yako.
5. Na masharti mengine kibao madogo madogo ambayo hayatekelezeki ikiwepo kutopiga pasi ili kusave TUKUZA, .
Tuliyavunja karibu yote na kufukuzwa hata Kabla ya mwezi kwisha,


dah nimecheka sana eti mlivunja karibu zote na mkatimuliwa je walirudisha kodi yenu?
 
Back
Top Bottom