Hakika Mimi ni miongoni mwa watu wanaopenda kumsikiliza Tundu, hii inatokana na umahili wake Wa kujua kujenga hoja na kuisimamia sheria!
Lakini pamoja na yote, kuna haya maneno ya kuchombeza "YASIYO NA TAFSIDA" huwa yanatia uchungu sana Kwa hadhira yanapotumiwa!!! na huenda ndiyo maana hawaishi kumkamata!
Usiombe maneno haya akwambie Tundu lissu yanachoma sana!
1. "Manyang'au" hawa wanaotukamata kila siku.
2. Hawa "wateesi" wetu
3. Huyu "dikiteta uchwara" huyu
4. Hii report ni "Takataka"
5. Huyo kasema "uharo mtupu"
6. Hayo ni "matapishi mtupu"
7. Hawa "wapuuzi hawa"
8. Hawa "nguchiro hawa"
9. Hizo sheria zao ni za " kipimbi tupu"
10. Haya " majizi haya" yana faa "yanyongwe"
11. Wao "wamevimbewa na upuuzi"
12. "Matapeli wakubwa hawa wapuuzwe
***************************************
MANENO YA TUNDU NI SHIIDA KWAKWELI SIELEWI KAMA YAPO KITAALUMA AU CHUMVI ZAKE TU
Lakini pamoja na yote, kuna haya maneno ya kuchombeza "YASIYO NA TAFSIDA" huwa yanatia uchungu sana Kwa hadhira yanapotumiwa!!! na huenda ndiyo maana hawaishi kumkamata!
Usiombe maneno haya akwambie Tundu lissu yanachoma sana!
1. "Manyang'au" hawa wanaotukamata kila siku.
2. Hawa "wateesi" wetu
3. Huyu "dikiteta uchwara" huyu
4. Hii report ni "Takataka"
5. Huyo kasema "uharo mtupu"
6. Hayo ni "matapishi mtupu"
7. Hawa "wapuuzi hawa"
8. Hawa "nguchiro hawa"
9. Hizo sheria zao ni za " kipimbi tupu"
10. Haya " majizi haya" yana faa "yanyongwe"
11. Wao "wamevimbewa na upuuzi"
12. "Matapeli wakubwa hawa wapuuzwe
***************************************
MANENO YA TUNDU NI SHIIDA KWAKWELI SIELEWI KAMA YAPO KITAALUMA AU CHUMVI ZAKE TU