Vibosile wengi wanapokufa tunaambiwa waliugua kwa muda mrefu...what is cooking

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,380
911,169
Nimepitia kwa karibu wanasiasa ndani ya kambi ya chama tawala cha ccm na nimebaini ya kuwa wengi wao afya zao ni mbaya na ingawaje hawako tayari kutueleza wanachoumwa kiukweli ukweli lakini dalili zaelekeza kule kwenye miwaya.............miwaya.............wengi wao wana mikanda ya jeshi usoni na minong'ono ipo kila mahali kuwa wamo kwenye mtandao mkali wa kusumbuliwa na vijirusi vya ukimwi............................mwenye taarifa zaidi na za uhakika anielemishe..........

Ninaomba kuwakilisha hoja ili majungu tuyaweke kando na ukweli ufahamike..............
 
Nimepitia kwa karibu wanasiasa ndani ya kambi ya chama tawala cha ccm na nimebaini ya kuwa wengi wao afya zao ni mbaya na ingawaje hawako tayari kutueleza wanachoumwa kiukweli ukweli lakini dalili zaelekeza kule kwenye miwaya.............miwaya.............wengi wao wana mikanda ya jeshi usoni na minong'ono ipo kila mahali kuwa wamo kwenye mtandao mkali wa kusumbuliwa na vijirusi vya ukimwi............................mwenye taarifa zaidi na za uhakika anielemishe..........

Ninaomba kuwakilisha hoja ili majungu tuyaweke kando na ukweli ufahamike..............

Je huoni kama tutakuwa tunanyanyapaa??? na after all Ukimwi haupimwi kwa macho Je una data kutoka hospital?
 
Sio issue, kwani mwenye ukimwi awezi kuwa kiongozi?
huko ni kuwanyanya paa waathirika. Mi nimepima nipo poa, wewe je?
pl'se withdraw the topic
 
Tatizo cyo kuwa na ukimwi tatizo ni kwann hawataki kujisema!! mi naunga mkono hoja kuwajua cyo kuwanyanyapaa.ht jamaa mbn anao ndio mana huwa anaanguka mara kw mara.
 
Guys, lets keep away from this kind of discussion! Haina manufaa kwa taifa hii. Kama tunataka kujadili habari ya ukimwi, basi tujadili namna ya kujiepusha nao, njia sahihi za matumizi ya kondom na namna nzuri ya kujitunza iwapo umeshaathirika, badala ya kujali kama nani anao na nani hana. Haitatusaidia. By the way humu JF tupo wengi tu ambao ni positive; tunapoanza kuujadili Ukimwi kwa mitizamo hasi, tunatengeneza mazingira ya kuwafanya wengine wajione wakosefu. Tujadili namna ya kuwazuia ambao hawajapata na namna ya kuwasaidia waliopata ili wapunguze msongo wa mawazo na waishi maisha marefu yenye furaha.
 
Akuna asiejua namna ya kujiepusha na gonjwa hilo,ila tunahitaji watu kutoka na kwenda kupima na kujua afya zao kabla ya kujiepusha.lakini kumbuka kufa ni ahadi,uwe na gwenge usiwenayo utakufa siku ileile na saa ileile.kwa hiyo ni kuomba kila la heri.
 
Nimepitia kwa karibu wanasiasa ndani ya kambi ya chama tawala cha ccm na nimebaini ya kuwa wengi wao afya zao ni mbaya na ingawaje hawako tayari kutueleza wanachoumwa kiukweli ukweli lakini dalili zaelekeza kule kwenye miwaya.............miwaya.............wengi wao wana mikanda ya jeshi usoni na minong'ono ipo kila mahali kuwa wamo kwenye mtandao mkali wa kusumbuliwa na vijirusi vya ukimwi............................mwenye taarifa zaidi na za uhakika anielemishe..........

Ninaomba kuwakilisha hoja ili majungu tuyaweke kando na ukweli ufahamike..............

majungu yawekwe pembeni?!. Kuthibitisha usemi huu wataje wenye mkanda wa jeshi na waliokufa wakatajwa kuwa wameugua mda mrefu.
 
Nimepitia kwa karibu wanasiasa ndani ya kambi ya chama tawala cha ccm na nimebaini ya kuwa wengi wao afya zao ni mbaya na ingawaje hawako tayari kutueleza wanachoumwa kiukweli ukweli lakini dalili zaelekeza kule kwenye miwaya.............miwaya.............wengi wao wana mikanda ya jeshi usoni na minong'ono ipo kila mahali kuwa wamo kwenye mtandao mkali wa kusumbuliwa na vijirusi vya ukimwi............................mwenye taarifa zaidi na za uhakika anielemishe..........

Ninaomba kuwakilisha hoja ili majungu tuyaweke kando na ukweli ufahamike..............

upuuzi, magonjwa ya mtu wewe yamekuhusu na nini?
 
Hoja ya msingi hapa viongozi wetu hawapo mstari wa mbele na kwa dhati kupambana na ukimwi na wamekuwa wakisingizia magonjwa mengine wao au jamaa zao wa karibu wanapopatwa na vijirusi vya ukimwi.....................

Ushahidi upo wazi......................haiwezekani tangu gonjwa hili la balaa lituangukie asiwepo hata kiongozi mmoja ndani ya CCM ambaye yupo tayari kukiri ya kuwa aliugua...na kunyanyapaa kamwe hakutakwisha mpaka viongozi wetu watakapokuwa mstari wa mbele kujitokeza na kutupasha ukweli wao wanapoona aibu basi na jamii itafuata mfano wao tu.......

CCM kwa vile ndicho chama kilichoko madarakani ni lazima kitoe mfano wa kuwahimiza viongozi wake kujitokeza na kuelezea kiuwazi pale wanapoathirika badala ya kuishia kusema alikufa baada ya kuugua kwa muda mrefu tu..............

Mandela hakujivunga pale mtoto wake alipokufa kwa ukimwi.............Kenneth Kaunda vilevile alikuwa mstari wa mbele kutupasha habari yalipomsibu kwa mwanae.....................hapa Tanzania ukiibua hii hoja ya viongozi kujificha na hivyo kukwamisha vita dhidi ya ukimwi utashupaliwa utoe ushahidi vinginevyo usiongelee..........kweli hivi vita tuashinda kwa kuoneana haya..........au kustahikiana.............
 
Huwezi ukawalazimisha viongozi wakatangaza kuwa wanaumwa ukimwi au waliokufa kwa ukimwi tutangaze kuwa ukimwi ndio umewaua kama alivyofanya Mandela. Huo ni uhuru wa mtu binafsi labda tuweke sheria kuwa kila anayeumwa ukimwi LAZIMA ajitangaze.
 
majungu yawekwe pembeni?!. Kuthibitisha usemi huu wataje wenye mkanda wa jeshi na waliokufa wakatajwa kuwa wameugua mda mrefu.

baba w *** ,amina chi***, bibi ti**, nd here wi hav apointed prezidaa anao.
 
we should not inter fear with other people personal business ..........
especially our leaders
it doesn't matter if we like them or not..
 
we should not inter fear with other people personal business ..........
especially our leaders
it doesn't matter if we like them or not..
Vita dhidi ya ukimwi haviwezi kuwa vinapiganiwa kwenye majukwaa tu na huku baadhi ya waathirika wakitutupia madongo ya kuwanyanyapaa waathirika wenzao kwa kudai ni kiherehere chao.........tu ndicho kimewafikisha huko..................................tuendelee kuwashinikiza viongozi wa CCM bila ya kuwataja majina yao watueleze ukweli juu ya afya zao na ndugu zao wa karibu......Haiwezekani hadi leo hakuna mwana-CCM yeyote yule aliyewahi kuugua au kufa kwa gonjwa hili hatari.........

Hapa nchini gonjwa hili laonekana ni la wanyonge tu...............................hakuna mtu yeyote yule ambaye amewahi kujitokeza na kutueleza ukweli ...........waache unafiki waje mstari wa mbele ............................aluta continue..............
 
Vita dhidi ya ukimwi haviwezi kuwa vinapiganiwa kwenye majukwaa tu na huku baadhi ya waathirika wakitutupia madongo ya kuwanyanyapaa waathirika wenzao kwa kudai ni kiherehere chao.........tu ndicho kimewafikisha huko..................................tuendelee kuwashinikiza viongozi wa CCM bila ya kuwataja majina yao watueleze ukweli juu ya afya zao na ndugu zao wa karibu......Haiwezekani hadi leo hakuna mwana-CCM yeyote yule aliyewahi kuugua au kufa kwa gonjwa hili hatari.........

Hapa nchini gonjwa hili laonekana ni la wanyonge tu...............................hakuna mtu yeyote yule ambaye amewahi kujitokeza na kutueleza ukweli ...........waache unafiki waje mstari wa mbele ............................aluta continue..............


Na hata wakitueleza kuhusu mangojwa yao yatatusaidia vipi???
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom