Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 220,745
- 728,548
Nimepitia kwa karibu wanasiasa ndani ya kambi ya chama tawala cha ccm na nimebaini ya kuwa wengi wao afya zao ni mbaya na ingawaje hawako tayari kutueleza wanachoumwa kiukweli ukweli lakini dalili zaelekeza kule kwenye miwaya.............miwaya.............wengi wao wana mikanda ya jeshi usoni na minong'ono ipo kila mahali kuwa wamo kwenye mtandao mkali wa kusumbuliwa na vijirusi vya ukimwi............................mwenye taarifa zaidi na za uhakika anielemishe..........
Ninaomba kuwakilisha hoja ili majungu tuyaweke kando na ukweli ufahamike..............
Ninaomba kuwakilisha hoja ili majungu tuyaweke kando na ukweli ufahamike..............