2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Nimejaribu kuchunguza sana, vibonge kweli ubonge umekuja wenyewe au umejitakia au umerithi?
1. Kweli kuna unene wa kurithi lakini unue ni ugonjwa, lazma ufanye upasuaji au umtafute daktari kwa ushauri zaidi.
2. Ubonge wa kuja sababu ya maisha mazuri, kutokuwa na wasiwasi na maisha au kutojali chochote, yani unaishi wewe ilimradi mzima tu hutaki kuumiza kichwa kuhusu wengine au vingine. Unaridhika na chochote tu. Mlo wako wa kawaida ila kamili na wanga kwa sana bila kusahau 🍻, juisi matunda n.k.
3. Hawa watu, kwanza wana asili ya uchoyo na ubinafsi. Unakuta hana uwezo mkubwa wa kifedha lakini ni wa kula kula hovyo, kwenye daladala, njiani au popote alipo mwenyewe ana mishkaki ndizi mara anakunywa soda. Hapo anahesabu hajala, akishuka kwenye gari akiona duka atachukua biskuti,a kiona kitumbua kala, mara 🥜, hapo akifika nyumbani atasema hajala toka asubuhi. Atapika chakula atakula kidogo na kudai "chakula hakipandi" ataagiza chips na soda n.k
Hiyo no.3 watu hao wapo wengi sana, wakiambia punguza kula wanajua labda wanakula chakula kingi kumbe ni kula kula bila mpango. Afu ni wengine ni masikini wa kutupa kubajet pesa hawajui, pamoja na kula kula hovyo bila mpango bado atasema hajala kisa sio chakula rasmi.
Kila mtu naamini anaweza kuwa wa kawaida bila unene wa kupitiliza, kwa sababu hata zamani hakukuwa na unene huo, vyakula, milo tunayokula na aina ya kemikali tunazotumia ndio tatizo.
1. Kweli kuna unene wa kurithi lakini unue ni ugonjwa, lazma ufanye upasuaji au umtafute daktari kwa ushauri zaidi.
2. Ubonge wa kuja sababu ya maisha mazuri, kutokuwa na wasiwasi na maisha au kutojali chochote, yani unaishi wewe ilimradi mzima tu hutaki kuumiza kichwa kuhusu wengine au vingine. Unaridhika na chochote tu. Mlo wako wa kawaida ila kamili na wanga kwa sana bila kusahau 🍻, juisi matunda n.k.
3. Hawa watu, kwanza wana asili ya uchoyo na ubinafsi. Unakuta hana uwezo mkubwa wa kifedha lakini ni wa kula kula hovyo, kwenye daladala, njiani au popote alipo mwenyewe ana mishkaki ndizi mara anakunywa soda. Hapo anahesabu hajala, akishuka kwenye gari akiona duka atachukua biskuti,a kiona kitumbua kala, mara 🥜, hapo akifika nyumbani atasema hajala toka asubuhi. Atapika chakula atakula kidogo na kudai "chakula hakipandi" ataagiza chips na soda n.k
Hiyo no.3 watu hao wapo wengi sana, wakiambia punguza kula wanajua labda wanakula chakula kingi kumbe ni kula kula bila mpango. Afu ni wengine ni masikini wa kutupa kubajet pesa hawajui, pamoja na kula kula hovyo bila mpango bado atasema hajala kisa sio chakula rasmi.
Kila mtu naamini anaweza kuwa wa kawaida bila unene wa kupitiliza, kwa sababu hata zamani hakukuwa na unene huo, vyakula, milo tunayokula na aina ya kemikali tunazotumia ndio tatizo.