Vibonge tambueni kuna tofauti ya kula chakula kingi na kula kula ovyo

Mimi siamini kama kuna unene wa kurithi. Unarithi tabia mbovu za kula kula hovyo zinazosababisha unene.
Kuna familia wanakula hovyo hovyo kwa hiyo ukikulia humo unarithi tabia hizo.
 
kwa sasa kiukweli nimeamua nimepunguza mno kula japo vishawishi vingi mno katika kipindi hiki nilikutana na offer moja ninayoipenda lunch wali samaki mkubwa na maharage na saladi nikasema pita kule.
siku nyingine nikakutana na ugali makange angalau hapa nikaagiza ndizi za kuchoma na mishkaki miwili
kiukweli naenda vizuri japo kuacha soda sio mchezo nimefanikiwa kwa sasa.
Ntakutafuta tufarijiane..!!
 
Back
Top Bottom