Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,684
- 36,038
Jana mchana wakati nimetoka kanisani Pugu Kajiungeni (Njia panda ya Chanika na Kisarawe ) niliamua nikapate viepe na kuku kwa muuza chips aliyeko kando ya barabara.
Nimefika pale nilishangaa yule kijana muuza chips anawezaje kukaa pale angalau kwa nusu saa. Yaani kijana yule pale ndipo maskani yake mahali ambapo wateja wake hula viepe pale.
Ule mtaro ukiuchungulia kwa chini utakutana na uchafu mwingi, sijui ni kinyesi au maozo ya chakula.
Pale hata bure siwezi kula chips.
Hivi kuna mtu ana akili timamu anaweza kula mahali pachafu vile?
Leo nikaamua kufanya survey kukagua mitaro iliyofunikwa na vibanda vya wamachinga.
Kwakweli hali ni mbaya.
Wamachinga waondolewe kwenye mitaro. Huu sio upendo bali ni ushamba.
Afya ni dili, ukiiharibu kwa siku 30 utaijenga kwa siku 60 au zaidi.
Nimefika pale nilishangaa yule kijana muuza chips anawezaje kukaa pale angalau kwa nusu saa. Yaani kijana yule pale ndipo maskani yake mahali ambapo wateja wake hula viepe pale.
Ule mtaro ukiuchungulia kwa chini utakutana na uchafu mwingi, sijui ni kinyesi au maozo ya chakula.
Pale hata bure siwezi kula chips.
Hivi kuna mtu ana akili timamu anaweza kula mahali pachafu vile?
Leo nikaamua kufanya survey kukagua mitaro iliyofunikwa na vibanda vya wamachinga.
Kwakweli hali ni mbaya.
Wamachinga waondolewe kwenye mitaro. Huu sio upendo bali ni ushamba.
Afya ni dili, ukiiharibu kwa siku 30 utaijenga kwa siku 60 au zaidi.