Awe makini na vijana watakao mshobokea, yasije mkuta kama 50 cent au mwanamuziki mwingine yalimkuta Kenya, jamaa aliishia kusema f..aki! Ila wajanja wa mjini wameshasepa na cheni ya dhahabu.
Labda kuiba nayo ni mojawapo ya mafanikio ya ari mpya, nguvu mpya na lasi mpya, sehemuq ya mamilioni ya ajira zilizoahidiwa kwa vijana. Kwani fiesta nayo si ilikuwa ahadi ya uchaguzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.