Fahamu namna bora ya kutengeneza Kachori

MadameX

JF-Expert Member
Dec 27, 2009
7,792
3,848

Viazi%20Vya%20Madonge(1).jpg

Namna ya kuandaa kitafunwa hiki aina ya kachori
Mahitaji

  • Viazi 10
  • Chumvi kiasi
  • Masala
  • Unga wa dengu 1 cup
  • Ndimu 3[h=3]Mataarisho

Namna ya kuandaa/ Kupika
  1. Chemsha viazi na maganda yake.
  2. Vikisha wiva menya maganda na kata kila kiazi vipande viwili.
  3. Katika kibakuli koroga ndimu, chumvi na pilipili ya unga kisha pakaza katikati ya kiazi halafu gandisha na kipande cha pili kiwe kama kiazi kizima.
  4. Fanya hivyo kwa viazi vyote vilivyobaki.
  5. Kwenye bakuli jingine koroga unga wa dengu , maji na chumvi kiasi uwe kama uji mwepesi.
  6. Kisha chovea kila kiazi kwenye unga huo halafu kaanga kwenye mafuta ukigeuza kama sambusa hadi kuiva.
  7. Vikisha wiva panga kwenye sahani tayari kwa kuliwa.
Soma Michango ya wadau

Aina ya 1...


Mahitaji
Viazi kg 1
Chumvi kiasi
Kitunguu saumu 1/2 teaspoon
Ndimu/limau 2
Pilipili
Unga wa ngano 1/2 cup
Yai 1...
Bizari 1/4 teaspoon (turmeric powder)

Namna ya kutaarisha
1)chemsha viazi vilivomenywa hadi viwive then bondabonda hadi viwe laini
2)weka chumvi,kitunguu saumu,ndimu na pilipili
3)changanya vizuri kisha tengeneza viduara vidogo vidogo

4)weka unga,bizari,yai na maji kiasi changanya vizuri uwe kama uji mzito mzito
5)weka mafuta katika karai
6)chukua viduara vya viazi ulivotengeza na upakae huo uji then kaanga kwenye mafuta..


Kachori tayari kwa kuliwa..
----
Mahitaji
Viazi kg 1
Chumvi kiasi
Kitunguu saumu 1/2 teaspoon
Ndimu/limau 2
Pilipili
Unga wa ngano 1/2 cup
Yai 1...
Bizari 1/4 teaspoon (turmeric powder)

Namna ya kutaarisha
1)chemsha viazi vilivomenywa hadi viwive then bondabonda hadi viwe laini
2)weka chumvi,kitunguu saumu,ndimu na pilipili
3)changanya vizuri kisha tengeneza viduara vidogo vidogo

4)weka unga,bizari,yai na maji kiasi changanya vizuri uwe kama uji mzito mzito
5)weka mafuta katika karai
6)chukua viduara vya viazi ulivotengeza na upakae huo uji then kaanga kwenye mafuta..


Kachori tayari kwa kuliwa..
----

Aina ya 1...


Mahitaji
Viazi kg 1
Chumvi kiasi
Kitunguu saumu 1/2 teaspoon
Ndimu/limau 2
Pilipili
Unga wa ngano 1/2 cup
Yai 1...
Bizari 1/4 teaspoon (turmeric powder)

Namna ya kutaarisha
1)chemsha viazi vilivomenywa hadi viwive then bondabonda hadi viwe laini
2)weka chumvi,kitunguu saumu,ndimu na pilipili
3)changanya vizuri kisha te
KACHORI :

Mahitaji :

Viazi 1/2 kilo
Kotmiri ilokatwa katwa
Pilipili ya kijani 1 ilokatwa ndogo ndogo
Chumvi
Garam Masala kjk 1 cha chai
Manjano ya unga 1/2 kjk cha chai
Sukari kjk 1 cha chai
Tangawizi na kitunguu saumu kilichopondwa kjk 1 cha chai

Mchanganyiko wa kuchomea :

Unga wa dengu gramu.
Hamira ya soda/chapa ya maandazi kidogo .
Maji
Mafuta ya kukaangia

Maelekezo :

Kosha na chemsha viazi
Vikiwiva menya na uviponde kisha weka pilipili, kotmiri, Garam Masala, sukari, tangawizi na kitunguu saumu, chumvi na kamulia ndimu kisha changanya.
Mchanganyiko wa viazi utakuwa tayari.
Tengeneza maumbo ya mipira

MCHANGANYIKO WA UNGA:

Anza kwa kuweka unga wa dengu kwenye bakuli, kisha weka hamira ya soda na chumvi , changanya vizuri kisha weka maji kidogo
Tengeneza uji mzito kisha engeza maji uwe mwepesi kiasi
Weka mafuta jikoni yakipata moto chovya kachori kwenye mchanganyiko wa unga na uzikaange mpaka ziwe na rangi nzuri
Andaa kuliwa kwa chatine

ngeneza viduara vidogo vidogo

4)weka unga,bizari,yai na maji kiasi changanya vizuri uwe kama uji mzito mzito
5)weka mafuta katika karai
6)chukua viduara vya viazi ulivotengeza na upakae huo uji then kaanga kwenye mafuta..


Kachori tayari kwa kuliwa..
----
yap yan kiazi unakikata mara mbili kama n kikubwa

chemsha na maji kidogo visiorojoke

tayarisha unga wako wa ngano

weka rangi yako ya ubuyu hio njano, chumvi na maji kiasi koroga huo mkorogo wa unga wangano usiwe mwepesi

chukua karai weka mafuta weka jikoni

chota kiazi kitumbukize kwenye huo mchanganyiko wa ngano had uone ile ngano imejieneza vizur kwenye kiaz

kama mafuta yameshapata moto weka kiazi ulichokidip kwenye hilo rojo la unga wa ngano kaanga
 
Dah ... this stuff is very delicious ... I like it ...

MadamX ... je nikichovya hivi viazi kwenye Maya kwa huu mchanganyiko nikavikaanga? will it be okay
 
Madame X, what if baada ya kutoa maganda hivyo viazi nikiviponda na kuvichanganya na viungo kabla ya kuvichovya kwenye huo unga wa dengu.... Will it be Okay?
 
MadamX .... sorry .. I mean mayai

Mmmh, sidhani kama itawezeka kwasababu lengo la kutumia unga wa dengu ni kuvishikiza viazi viwili pamoja. Mayai hayana uwezo wa kugandisha bila kuachiana unless utachangana na unga ngano kidogo.
 
Aina ya 1...


Mahitaji
Viazi kg 1
Chumvi kiasi
Kitunguu saumu 1/2 teaspoon
Ndimu/limau 2
Pilipili
Unga wa ngano 1/2 cup
Yai 1...
Bizari 1/4 teaspoon (turmeric powder)

Namna ya kutaarisha
1)chemsha viazi vilivomenywa hadi viwive then bondabonda hadi viwe laini
2)weka chumvi,kitunguu saumu,ndimu na pilipili
3)changanya vizuri kisha tengeneza viduara vidogo vidogo

4)weka unga,bizari,yai na maji kiasi changanya vizuri uwe kama uji mzito mzito
5)weka mafuta katika karai
6)chukua viduara vya viazi ulivotengeza na upakae huo uji then kaanga kwenye mafuta..


Kachori tayari kwa kuliwa..
 

Attachments

  • 1385217754244.jpg
    1385217754244.jpg
    55.4 KB · Views: 793

Similar Discussions

Back
Top Bottom