MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,848
Namna ya kuandaa kitafunwa hiki aina ya kachori
- Viazi 10
- Chumvi kiasi
- Masala
- Unga wa dengu 1 cup
- Ndimu 3[h=3]Mataarisho
Namna ya kuandaa/ Kupika
- Chemsha viazi na maganda yake.
- Vikisha wiva menya maganda na kata kila kiazi vipande viwili.
- Katika kibakuli koroga ndimu, chumvi na pilipili ya unga kisha pakaza katikati ya kiazi halafu gandisha na kipande cha pili kiwe kama kiazi kizima.
- Fanya hivyo kwa viazi vyote vilivyobaki.
- Kwenye bakuli jingine koroga unga wa dengu , maji na chumvi kiasi uwe kama uji mwepesi.
- Kisha chovea kila kiazi kwenye unga huo halafu kaanga kwenye mafuta ukigeuza kama sambusa hadi kuiva.
- Vikisha wiva panga kwenye sahani tayari kwa kuliwa.
----Aina ya 1...
Mahitaji
Viazi kg 1
Chumvi kiasi
Kitunguu saumu 1/2 teaspoon
Ndimu/limau 2
Pilipili
Unga wa ngano 1/2 cup
Yai 1...
Bizari 1/4 teaspoon (turmeric powder)
Namna ya kutaarisha
1)chemsha viazi vilivomenywa hadi viwive then bondabonda hadi viwe laini
2)weka chumvi,kitunguu saumu,ndimu na pilipili
3)changanya vizuri kisha tengeneza viduara vidogo vidogo
4)weka unga,bizari,yai na maji kiasi changanya vizuri uwe kama uji mzito mzito
5)weka mafuta katika karai
6)chukua viduara vya viazi ulivotengeza na upakae huo uji then kaanga kwenye mafuta..
Kachori tayari kwa kuliwa..
----Mahitaji
Viazi kg 1
Chumvi kiasi
Kitunguu saumu 1/2 teaspoon
Ndimu/limau 2
Pilipili
Unga wa ngano 1/2 cup
Yai 1...
Bizari 1/4 teaspoon (turmeric powder)
Namna ya kutaarisha
1)chemsha viazi vilivomenywa hadi viwive then bondabonda hadi viwe laini
2)weka chumvi,kitunguu saumu,ndimu na pilipili
3)changanya vizuri kisha tengeneza viduara vidogo vidogo
4)weka unga,bizari,yai na maji kiasi changanya vizuri uwe kama uji mzito mzito
5)weka mafuta katika karai
6)chukua viduara vya viazi ulivotengeza na upakae huo uji then kaanga kwenye mafuta..
Kachori tayari kwa kuliwa..
----Aina ya 1...
Mahitaji
Viazi kg 1
Chumvi kiasi
Kitunguu saumu 1/2 teaspoon
Ndimu/limau 2
Pilipili
Unga wa ngano 1/2 cup
Yai 1...
Bizari 1/4 teaspoon (turmeric powder)
Namna ya kutaarisha
1)chemsha viazi vilivomenywa hadi viwive then bondabonda hadi viwe laini
2)weka chumvi,kitunguu saumu,ndimu na pilipili
3)changanya vizuri kisha te
KACHORI :
Mahitaji :
Viazi 1/2 kilo
Kotmiri ilokatwa katwa
Pilipili ya kijani 1 ilokatwa ndogo ndogo
Chumvi
Garam Masala kjk 1 cha chai
Manjano ya unga 1/2 kjk cha chai
Sukari kjk 1 cha chai
Tangawizi na kitunguu saumu kilichopondwa kjk 1 cha chai
Mchanganyiko wa kuchomea :
Unga wa dengu gramu.
Hamira ya soda/chapa ya maandazi kidogo .
Maji
Mafuta ya kukaangia
Maelekezo :
Kosha na chemsha viazi
Vikiwiva menya na uviponde kisha weka pilipili, kotmiri, Garam Masala, sukari, tangawizi na kitunguu saumu, chumvi na kamulia ndimu kisha changanya.
Mchanganyiko wa viazi utakuwa tayari.
Tengeneza maumbo ya mipira
MCHANGANYIKO WA UNGA:
Anza kwa kuweka unga wa dengu kwenye bakuli, kisha weka hamira ya soda na chumvi , changanya vizuri kisha weka maji kidogo
Tengeneza uji mzito kisha engeza maji uwe mwepesi kiasi
Weka mafuta jikoni yakipata moto chovya kachori kwenye mchanganyiko wa unga na uzikaange mpaka ziwe na rangi nzuri
Andaa kuliwa kwa chatine
ngeneza viduara vidogo vidogo
4)weka unga,bizari,yai na maji kiasi changanya vizuri uwe kama uji mzito mzito
5)weka mafuta katika karai
6)chukua viduara vya viazi ulivotengeza na upakae huo uji then kaanga kwenye mafuta..
Kachori tayari kwa kuliwa..
yap yan kiazi unakikata mara mbili kama n kikubwa
chemsha na maji kidogo visiorojoke
tayarisha unga wako wa ngano
weka rangi yako ya ubuyu hio njano, chumvi na maji kiasi koroga huo mkorogo wa unga wangano usiwe mwepesi
chukua karai weka mafuta weka jikoni
chota kiazi kitumbukize kwenye huo mchanganyiko wa ngano had uone ile ngano imejieneza vizur kwenye kiaz
kama mafuta yameshapata moto weka kiazi ulichokidip kwenye hilo rojo la unga wa ngano kaanga