Amka asbhi sana, saa kumi ikukute upo karume kwenye yale mabanda (sio kwenye yale majengo ya machinga complex)! Huko watu wanauza kwa jumla, kama mnada hivi, kwahiyo ubora wa kiatu na bei itatokana na kupandiana bei kati yenu wanunuzi! Ikifika kwenye saa kumi na mbili hivi, minada imeisha kwahiyo unatakiwa uwahi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.