Viatu vizuri vya mtumba kwa bei ya jumla

mkabasia

JF-Expert Member
Mar 11, 2014
2,809
2,371
Habari zenu wapendwa.Naomba kufahamu ni wapi kwa dar-es- salaam naeza pata viatu vizuri vya mtumba kwa bei ya jumla.( sio balo zima lakini).
 
Amka asbhi sana, saa kumi ikukute upo karume kwenye yale mabanda (sio kwenye yale majengo ya machinga complex)! Huko watu wanauza kwa jumla, kama mnada hivi, kwahiyo ubora wa kiatu na bei itatokana na kupandiana bei kati yenu wanunuzi! Ikifika kwenye saa kumi na mbili hivi, minada imeisha kwahiyo unatakiwa uwahi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom