Hata nisipo elezea mpendwa hivi vitu vinafanya kazi na vinatendeka,Mungu akubariki mtumishi ila somo unalielezea kwa mapana kiasi kwamba unaimwaga hekima yote! Hata yale ambayo mara nyingi huwa tunaamuaga kuyakwepa tusiyaelezee, maana katika mafunuo haya unaelezea mpaka mbinu ambayo watu wa giza hutumia kwa kutumia vitabu Vitakatifu!
Hiki chakula kigumu nadhani si vema sana wakalishwa watoto wadogo ambao bado hawaja funguka vya kutosha. Maana adui akiwashambulia ufahamu wanaweza kuumiza wengine walio dhaifu! Ikimpendeza Mungu elezea tu upande wa Nuru huu upande wa pili uuache tu mtumishi.
Ni kwa nia njema tu si kwa ubaya, wengine msije mkanielewa vibaya
Asante my dear always praying hard before sleeping, hyo hali hunitesa mno hata nikienda sehemu ngeniDuuh pole Sana my dear... Sali sana pia kabla ya kulala
Amina mtumishi ubarikiweHata nisipo elezea mpendwa hivi vitu vinafanya kazi na vinatendeka,
Cha muhimu watu wajifunze kujiombea katika kila kitu wanachokifanya, hatutakiwi kutembea kizembe zembe.
Sio rahisi kuandika haya niandikayo, ni vita pia hapa nainua.
Hata wakifanya hivyo wajue yatawarudia
Mkuu nimegoogle hiyo naona kama siku inayotumika kama kuuza vitu kwa bei ya punguzo ili kusafisha store, hivyo siku hiyo watu wengi wanafanya manunuzi sana, hiyo nimeona kwa UK, sasa kama kuna sababu nyingine nyuma ya pazia, naomba utusaidie mkuu. Heshima kwa Divine na wote waliofundisha mengi ktk Uzi huuYeah tafuta habari zake kwa undani
Jr
Sio siku nzuri kwa wazungu, wanaona ni siku ya nuksi na balaa.. Hebu Google vizuri sio black Friday ni tar 13 inayoangukia siku ya ijumaaMkuu nimegoogle hiyo naona kama siku inayotumika kama kuuza vitu kwa bei ya punguzo ili kusafisha store, hivyo siku hiyo watu wengi wanafanya manunuzi sana, hiyo nimeona kwa UK, sasa kama kuna sababu nyingine nyuma ya pazia, naomba utusaidie mkuu. Heshima kwa Divine na wote waliofundisha mengi ktk Uzi huu
OkSio siku nzuri kwa wazungu, wanaona ni siku ya nuksi na balaa.. Hebu Google vizuri sio black Friday ni tar 13 inayoangukia siku ya ijumaa
Hapa tatizo sio siku bali tarehe 13
Jr
Nitakuinbox nikuelekeze kuomba, utaomba na utavuka kwa imani.
Sio leo, nikumbushe kesho hadi niandae somo
Brother mshana tafadhali naomba uingie pm naomba msaada wako mkuu