Viashiria: Huenda Rais Samia atakuwa dikteta kuliko Hayati Magufuli

Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.
Hakika dalili zinaanza kuonekana, Kesi ya mchongo ya Mbowe ni dalili za mwanzo kabisa,.
 
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.
Acha upumbavu,hakuna asiyejua ushenzi wa Mwendazake..

Samia atakuwa kama JK ,kung'ata na kupuliza ndio maana saizi kawaacha mnaropoka tuu.

ILa ukiwa ndani ya chama marufuku.
 
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.
Huyu atakuwa muuaji kuliko Jiwe
 
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.
Hakuna mwanamke ambaye hapendi kusifiwa na kupambwa pambwa!!
 
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.
Uzuri wa Samia ni msikivu hata kama akisifiwa anavimba kichwa kama walivyo wanadamu wengi duniani. Hana majivuno yaliyopitiliza, hajioni kama ni Mungu mtu sifa iliyo mbaya kuwa nayo kiongozi yoyote.

Uzuri wa Samia anajichanganya na watu wa mataifa mbalimbali, haogopi kujifunza.
 
Back
Top Bottom