The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Mr. Zero,
Kama JPM anaweza kukariri idadi ya dagaa na samaki wote walioko ziwa Tanganyika,Ziwa Victoria na ziwa Nyasa atashindwaje kuwajua watu wake wa karibu?
Wasiwasi wangu ni pale tu anapochemka kwenye kurudia majina yaleyale kwenye nyazifa tofauti toauti. Kwamba leo Luhende kateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri lakini utashangaa kesho anateuliwa kuwa DAS wa Halmashauri ya mji mwingine.....................!!!!!!!Hapa Kazi tu at work.
Hapo sawa. Kama anawajua ni lazima watakuwa ni watu wake wa karibu ... hivyo teuzi zake zitakuwa questionable!!?