makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Jamii forum kumbe ni Udaku? Nilikua sijui !
msondomba,
Kama JF ni udaku wewe unaingia humu kutafuta nini? Nijuavyo JF kuna facts,research na data za uhakika na ndiyo maana hata Rais wako JPM anaingia humu kujiridhisha kama ameboronga au la! Tatizo moja la Mwanadamu hasa Mibongo ni kuwa hawataki kuukubali ukweli mpaka wakiona mambo yanaharibika!! Ndiyo maana ya kuwa na ile methali ya Wahenga, ''MAJUTO NI MJUKUU"!!!!
Haya madudu yote yanayoibuiliwa na JPM kutoka kwenye serikali yake ya CCM (yeye akiwa Waziri) tuliyapigia kelele sana toka enzi za Awamu ya 2 mpaka leo Awamu ya 5 lakini CCM wakaziba masikio na kupuuza wakituita VYAMA VYA MSIMU!!!
Sasa hivi wameanza kuisoma namba ya UKAWA wanatapatapa na kuweweseka na kuanza KUZUIA MIKUTANO YA SIASA LAKINI KWA UPINZANI TU kwa visingizio ambavyo hata mtu ambaye hajaenda shule anajua kabisa huu ni UWOGA WA KUUMBULIWA NA VYAMA VYA UPINZANI!!! Hata nduli Idd Amin wa Uganda alianza kidogokidogo hivi mpaka akabobea na kuanza chinja chinja na kula nyama za binadamu!!!!!!