Naomba kuuliza,
kwa kuwa mawaziri na wengine wote wanaoapishwa na bibilia au quran tukufu hawaogopi kiapo chao wala hawasiti kukivunja.
Na kwa kuwa waliposikia unga umeingia tubungeni wote waliogopa na kupaniki kabisa.
mimi napendekeza wote wawe wanaapishwa kimila na waganga wa jadi.
wateuliwe bababu wa busara kutoka kanda zote za nchi na wawaapishe viongozi wetu, nadhani wataogopa kugeika nyoka hivyo kazi yetu tuliowapa itafanyika.
kwa kuwa mawaziri na wengine wote wanaoapishwa na bibilia au quran tukufu hawaogopi kiapo chao wala hawasiti kukivunja.
Na kwa kuwa waliposikia unga umeingia tubungeni wote waliogopa na kupaniki kabisa.
mimi napendekeza wote wawe wanaapishwa kimila na waganga wa jadi.
wateuliwe bababu wa busara kutoka kanda zote za nchi na wawaapishe viongozi wetu, nadhani wataogopa kugeika nyoka hivyo kazi yetu tuliowapa itafanyika.