ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,894
Diamond baada ya kufukuzwa vevo amerudi kupost video zake kwenye account yake ya kawaida. Vevo wamemtimua. Wanataka wanamuziki wazuri wa kimataifa kama wizkid na davido. Pia hawataki msanii asieweza kuimba kingereza. Sasa diamond anashuka wenzake kina wizkid wanapanda.
Ali kiba yeye ndo alishajifia kitambo. Naona wawakilishi wa tanzania kimataifa wamebaki wawili tu rayvanny na hamonize
Ali kiba yeye ndo alishajifia kitambo. Naona wawakilishi wa tanzania kimataifa wamebaki wawili tu rayvanny na hamonize