VEVO wamemtimua diamond hauzi

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,964
3,894
Diamond baada ya kufukuzwa vevo amerudi kupost video zake kwenye account yake ya kawaida. Vevo wamemtimua. Wanataka wanamuziki wazuri wa kimataifa kama wizkid na davido. Pia hawataki msanii asieweza kuimba kingereza. Sasa diamond anashuka wenzake kina wizkid wanapanda.

Ali kiba yeye ndo alishajifia kitambo. Naona wawakilishi wa tanzania kimataifa wamebaki wawili tu rayvanny na hamonize
 
Diamond baada ya kufukuzwa vevo amerudi kupost video zake kwenye account yake ya kawaida. Vevo wamemtimua. Wanataka wanamuziki wazuti wa kimataifa kama wizkid na davido. Pia hawataki msanii asieweza kuimba kingereza. Sasa diamond anashuka wenzake kina wizkid wanapanda.

Ali kiba yeye ndo alishajifia kitambo. Naona wawakilishi wa tanzania kimataifa wamebaki wawili tu rayvanny na hamonize

Wote hao hamna kitu wakacheze mdundiko
 
Diamond baada ya kufukuzwa vevo amerudi kupost video zake kwenye account yake ya kawaida. Vevo wamemtimua. Wanataka wanamuziki wazuti wa kimataifa kama wizkid na davido. Pia hawataki msanii asieweza kuimba kingereza. Sasa diamond anashuka wenzake kina wizkid wanapanda.

Ali kiba yeye ndo alishajifia kitambo. Naona wawakilishi wa tanzania kimataifa wamebaki wawili tu rayvanny na hamonize
Chuki kama hii haimuumizi unaemchukia...inakuumiza zaidi wewe binafsi,furaha unayopata kwa kunuombea mwingine mabaya huyo ndio mchawi wa hali duni yako.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom