Northern Lights
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 383
- 347
Habari wakuu...
Kwa sasa kuna kundi kubwa sana la watu wanaofanya ujenzi kwa watu binafsi kwa mkataba, ukitembelea instagram utaona ni jinsi gani walivo wengi.
Changamoto kubwa iliyopo ni kujua yupi anayeweza kufanya kazi kweli maaana picha baadhi wanatoa tu mtandaoni na wengine ku copy za wenzao na kufanya editing.
Swala langu kwa mtu anayetaka kutumia contractor ni njia zipi nzuri kuzitumia kufanya vetting ili kuepuka matapeli na watu ambao hawana uzoefu au ujuzi wa kufanya kazi nzuri.
Kwa sasa kuna kundi kubwa sana la watu wanaofanya ujenzi kwa watu binafsi kwa mkataba, ukitembelea instagram utaona ni jinsi gani walivo wengi.
Changamoto kubwa iliyopo ni kujua yupi anayeweza kufanya kazi kweli maaana picha baadhi wanatoa tu mtandaoni na wengine ku copy za wenzao na kufanya editing.
Swala langu kwa mtu anayetaka kutumia contractor ni njia zipi nzuri kuzitumia kufanya vetting ili kuepuka matapeli na watu ambao hawana uzoefu au ujuzi wa kufanya kazi nzuri.