MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,230
Sina mengi zaidi, Mimi ni mmoja wa vijana wa ki-Tanzania, Hua natamani Tanzania iwe moja ya wagunduzi wa mitambo mbali mbali,
Watu ambao wangesaidia kugundua ni pamoja na watalam wa VETA cha ajabu mpaka leo hii sijawahi kuona mitambo ambayo imebuniwa na hawa watu wa VETA,
Mwenye uzoefu na product zao nijulishe mitambo ambayo imesha wahi kuvumbuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu ambao wangesaidia kugundua ni pamoja na watalam wa VETA cha ajabu mpaka leo hii sijawahi kuona mitambo ambayo imebuniwa na hawa watu wa VETA,
Mwenye uzoefu na product zao nijulishe mitambo ambayo imesha wahi kuvumbuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app