Kila kizuri kinapelekwa Chato. Hebu tupewe mchanganuo wa ulipaji kodi wao kwa mwaka. Wastani wa makusanyo ya kikodi na yasiyo ya kikodi kutoka Chato kwa mwaka ni shilingi ngapi?View attachment 1671264
View attachment 1671265
Swali ni kuwa vijana watakubali kuacha kuchunga ng’ombe wajifunze ufundi?
Afuataye ikulu ni Ridhiwan Mkwere, halafu Jesca Jiwe. Jenda imezingatiwa. Tupo pamoja na Zenji kuenzi wazee wetu kisultan.Tano mingine baada ya 2025
Kila kizuri kinapelekwa Chato. Hebu tupewe mchanganuo wa ulipaji kodi wao kwa mwaka. Wastani wa makusanyo ya kikodi na yasiyo ya kikodi kutoka Chato kwa mwaka ni shilingi ngapi?
Uko misinformed sana na wasukuma wewe,hivi unadhani kila msukumu ni mfugaji Wa ngombe? Kwa chato kama kuna wafugaji basis ni asilimia 20% na hawazidi hapo,tena na wenyewe ni wale wenye tungombe tutano,wenye ngombe 200 hawazidi 50View attachment 1671264
View attachment 1671265
Swali ni kuwa vijana watakubali kuacha kuchunga ng’ombe wajifunze ufundi?
La si hvyo basi watasoma wanaotoka mikoa jirani
Hapa waweke kozi za kutengeneza boti ndogo na ufundi wa boti maana wapo mkoa wenye ziwa.View attachment 1671264
View attachment 1671265
Swali ni kuwa vijana watakubali kuacha kuchunga ng’ombe wajifunze ufundi?