Very soon, Tanzania is going to face political instability and great transformation

Nayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.

Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.

Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.

Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.

Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.

Kwahiyo, kule nchi zilizoendelea ambako hawaogopi riot police au kukamatwa na police kuna political instability?
 
Nayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.

Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.

Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.

Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.

Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.
Ngoja tusubiri,inawezekana ipo mipango ya chini kwa chini kama ile ya Magufuli.Time will tell.
 
Hata kama wananchi wakiamua kuleta machafuko ya siasa, hayo machafuko hayawezi kuleta mabadiliko yoyote au kufika popote bila msaada wa nchi nyingine. Nchi gani za jirani au mataifa makubwa ambayo yako tayari kusaidia kuleta machafuko ya siasa Tanzania? Siyo kitu rahisi kufanyika.
 
unadhani nchi ni Kama ,familia au ka taasisi unaweza ukakatabilia kile unachowaza akilini mwako.sahau mkuu ,usichukulie kizembe kitu inayoitwa dola. Kama Sera za kiinterijensia zinaruhusu kupoteza kumi,kuokoa laki au million!!!
 
Wajinga wanafikiria yatokee mambo kama ya South Africa ili wavamie maduka mlimani city wakaibe. Sahauni pumbavu nyie.
Fanyeni kazi.
 
Mkuu kwa nchi yetu sahau hilo! Tuko nchi ya Amani na Uvumilivu siyo Amani na Vurugu.
Watanzania hatujazoea.
 
Nayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.

Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.

Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.

Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.

Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.
Njozi hii imewajia wengi hata Mimi niliiiona Tanzania ya kesho na ishara zake,
Tizana atakuja mfalme nae atatawala wakati na sehemu ya wakati nae atatwaliwa na Alie chini yake atatawala nchi.
Baada ya wakati nao wana wa nchi watachagua mfalme mpya asiyetarajiwa nae atafuta machozi na misiba ndani ya mioyo ya Wana wa nchi.
Ni njozi tu jamani nasasa nimeamka kazi iendelee😆😆😆
 
Nayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.

Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.

Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.

Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.

Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.
Kila mtu ni kichaa ukichaa wake humfikia akiwa amekasirika sana 'every body is mad,the degree of madness is measured when angry'
 
Mtu asiyetarajiwa anakuja kutawala taifa hili

Ataleta katiba Bora kuliko zote Africa.

Atafanya mageuzi ambayo yatakumbukwa kwa vizazi na vizazi.

Kinachotuponza Kama taifa tunabishana na nyakati, Sasa muda waja ambao hakuna mtu ataogopa kuhusu vifaru, mabomu, kufungwa na risasi.

Nchii hii inawaka Moto wa chini kwa chini na Moshi unavuka Ni mdogo Sana Kama vile wanachoma mkaa, wanaficha ukweli ila muda waja watu wote wataongea lugha moja.

Nimeota hii ndoto sio chini ya Mara 3 toka mwaka 2015 lakini watawala wanajaribu kubishana na nyakati .

Tuendelee kuwepo muda Ni mwalimu mzuri Sana.
Mungu anatupenda sana watanzania, kuna jambo alitaka kulisimamisha mwendelezo wake kwa njia za asili lakini aliyerithi utawala ameshindwa kuliona.Baada ya nguvu za asili kuingilia kati tabaka lote lililokuwa linaamini katika matumizi ya nguvu lilipashwa kuachwa lakini limerithiwa na sasa linaanzakutengeneza mfumo ndani ya mfumo mpya, hili ni janga.
 
Wananchi hao waliochoka walikuwa wapi miaka yote? Au unazungumzia Tanzania ya ndotoni?
hii mijamaa ipelekwe ika ponde mawe Maweni Tanga, naona maubongo yao hawa nazichadema, fungus zimeongezeka. mijitu mizima ovyoooo
 
Nayaona mabadiliko makubwa ya kidemokrasia nchini yatakayoambatana na vurugu zitakazosabsbishwa na watu waliochoka kunyanyaswa,kutishiwa, kubambikiwa kesi na kupigwa. Kuna vuguvugu kubwa linakuja siku za usoni, watu hawajakasirika bado lakini muda siyo mrefu watalazimika kukasirika.

Hili halihitaji utabiri wa kinyota lakini kuna kitu ndugu zangu wanausalama wanaita situational analysis, Kama kweli wana situational awareness watazame tu uhalisia wenye watapata majibu. Ukiona taifa limefikia hatua ya watu kutishwa mabomu ya polisi hawaogopi, wanaharakati hawaogopi kulala mahabusu na hata kufungwa jela kwa yale wanayoyaamini basi mamlaka zinapaswa kusoma alama za nyakati na kukubali tu likae kwenye mstari na kuwasikiliza wananchi. Hakuna dola iliyowahi kushinda wananchi walio na hasira duniani, hakuna hicho kitu.

Kama unaamini kwamba hapa naandika kwa kujifurahisha basi waswahili husema kua muda ni mwalimu mzuri.

Hili taifa lilishaanza kujengwa katika misingi ya kidemokrasia muda mrefu huwezi kufananisha na Uganda na Zimbabwe ya Mugabe. Sidi kwetu tofauti ya kiitikadi ni kubwa na ndiyo iliyozaa tofauti kubwa ya kimawazo.

Watawala wetu wasizibe masikio kwa kutamani kuendelea kutawala.
Hayo ni mawazo ukiwa chooni unahangaika kutoa kimba

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom