Very sad...

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Magufuli kaminya upinzani mpaka unapotea kweli 😢😢

Imagine HAKUNA mbunge wa CCM aliyewahi kusumbuliwa na police, ila wangapi viongozi wa upinzani wamekuwa harassed na police?

Mnajua effect yake hawa viongozi kusumbuliwa na police????....moja Inatoa picha hawa viongozi sio responsible citizens,kwani kwa police wanaoenda ni wahalifu, kwa hio kupelekwa police hawa viongozi wa upinzani kuna wapa picha jamii kuwa they are not to be trusted... hili limekua crafted carefully na serikali ya MAGUFULI! serikali zilizopita kulikua hakuna unyanyasaji kama huu wa serikali ya tano, ndio kusema kwenye serikali zilizopita viongozu wa upinzani walikua HAWAKOSEI?? Ndio ujue kama hili limekua crafted!

SECOND,kupeleka viongozi wa upinzani jela,nikuwachanganya kisaikolojia,demoralise kuwapoteza kiakili wasi concentrate na maendeleo ya majinbo yao..na muda waliopaswa kuwa majimboni Mwao wako wanashughulikia kesi zao police......sijafanya utafiti, ila sitashangaa kama majimbo yale yenye viongozi wa upinzani waliosumbuliwa na police ndio yenye least development!!?!

Cha kufanya CHADEMA ni kuongeza resources/ income muwe mnaajiri ma lawyers kutoka NJE , MAGUFULI anaweza INTIMIDATION waache apart mtu wa kumui INTIMIDATE na yeye atapunguza unyanyasaji, DICTATOR yeyote mwenye Authority ukimuonyesha kuna mtu juu yake anakua mpole anapunguza ego, tunahitaji Lawyers , akina ROBERT AMSTERDEM wengi, muone kama mtaonewa tena na serikali ,,, deploy wakili kama wawili watatu, muone kama mtaonewa tena

Mungu bariki Tanzania

Mungu bariki upinzani
 
Mbona umeJump to the conclusion bila kua na hakika mkuu.. Kila mtu anachoice yake ila umeshajudge kabisa kaa uliijua choice yangu.. This is not fair and injustice 🙄🙄😞😞

Yaishe mkuu 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
 
Magufuli kaminya upinzani mpaka unapotea kweli 😢😢

Imagine HAKUNA mbunge wa CCM aliyewahi kusumbuliwa na police, ila wangapi viongozi wa upinzani wamekuwa harassed na police?

Mnajua effect yake hawa viongozi kusumbuliwa na police????....moja Inatoa picha hawa viongozi sio responsible citizens,kwani kwa police wanaoenda ni wahalifu, kwa hio kupelekwa police hawa viongozi wa upinzani kuna wapa picha jamii kuwa they are not to be trusted... hili limekua crafted carefully na serikali ya MAGUFULI! serikali zilizopita kulikua hakuna unyanyasaji kama huu wa serikali ya tano, ndio kusema kwenye serikali zilizopita viongozu wa upinzani walikua HAWAKOSEI?? Ndio ujue kama hili limekua crafted!

SECOND,kupeleka viongozi wa upinzani jela,nikuwachanganya kisaikolojia,demoralise kuwapoteza kiakili wasi concentrate na maendeleo ya majinbo yao..na muda waliopaswa kuwa majimboni Mwao wako wanashughulikia kesi zao police......sijafanya utafiti, ila sitashangaa kama majimbo yale yenye viongozi wa upinzani waliosumbuliwa na police ndio yenye least development!!?!

Cha kufanya CHADEMA ni kuongeza resources/ income muwe mnaajiri ma lawyers kutoka NJE , MAGUFULI anaweza INTIMIDATION waache apart mtu wa kumui INTIMIDATE na yeye atapunguza unyanyasaji, DICTATOR yeyote mwenye Authority ukimuonyesha kuna mtu juu yake anakua mpole anapunguza ego, tunahitaji Lawyers , akina ROBERT AMSTERDEM wengi, muone kama mtaonewa tena na serikali ,,, deploy wakili kama wawili watatu, muone kama mtaonewa tena

Mungu bariki Tanzania

Mungu bariki upinzani
Magufuli alitabiria kifo upinzani katika utawala wake, upinzani una kazi kubwa sana ya referendum ndani ya vyama vyao. Yabidi kujipanga upya la sivyo wote wataishia kama Maalim Seif au Membe kukosa kura katika baadhi ya majimbo.
 
Kwa sisi wana-CCM ambao ni waumini wa democrasia, uhuru wa kutoa mawazo na kuthamini nguvu ya hoja, tumeshikwa na butwaa kubwa kutokana ushindi huu wa Chama chetu. Tunaona sasa chama chetu kitarudi kule kule kwenye kulindana pale mmoja wetu atakapo husishwa na kashfa kama ufisadi.
Sioni bunge la wana-CCM pekee linaweza kuhoji mada na miswada mbalimbali kwa dhati itakayokuwa ikipelekwa bungeni kwa maamuzi. Watakao jaribu kuhoji kwa nguvu ya hoja basi wasionekane kama ni maadui ila wanatumia tu uhuru wao wa kutoa mawazo. A rubber stamp parliament is very possible here na dhana ya kuisimamia serikali itakuwa mashakani.
Myself, ningependa kuona kaupinzani fulani hivi bungeni hata kama ni kwa uchache wake. Negative effect ya democrasia imeonekana hapa.
Mungu ibariki Tanzania ambayo tunaipenda kuliko kitu chochote.
Ameen.
 
Magufuli kaminya upinzani mpaka unapotea kweli 😢😢

Imagine HAKUNA mbunge wa CCM aliyewahi kusumbuliwa na police, ila wangapi viongozi wa upinzani wamekuwa harassed na police?

Mnajua effect yake hawa viongozi kusumbuliwa na police????....moja Inatoa picha hawa viongozi sio responsible citizens,kwani kwa police wanaoenda ni wahalifu, kwa hio kupelekwa police hawa viongozi wa upinzani kuna wapa picha jamii kuwa they are not to be trusted... hili limekua crafted carefully na serikali ya MAGUFULI! serikali zilizopita kulikua hakuna unyanyasaji kama huu wa serikali ya tano, ndio kusema kwenye serikali zilizopita viongozu wa upinzani walikua HAWAKOSEI?? Ndio ujue kama hili limekua crafted!

SECOND,kupeleka viongozi wa upinzani jela,nikuwachanganya kisaikolojia,demoralise kuwapoteza kiakili wasi concentrate na maendeleo ya majinbo yao..na muda waliopaswa kuwa majimboni Mwao wako wanashughulikia kesi zao police......sijafanya utafiti, ila sitashangaa kama majimbo yale yenye viongozi wa upinzani waliosumbuliwa na police ndio yenye least development!!?!

Cha kufanya CHADEMA ni kuongeza resources/ income muwe mnaajiri ma lawyers kutoka NJE , MAGUFULI anaweza INTIMIDATION waache apart mtu wa kumui INTIMIDATE na yeye atapunguza unyanyasaji, DICTATOR yeyote mwenye Authority ukimuonyesha kuna mtu juu yake anakua mpole anapunguza ego, tunahitaji Lawyers , akina ROBERT AMSTERDEM wengi, muone kama mtaonewa tena na serikali ,,, deploy wakili kama wawili watatu, muone kama mtaonewa tena

Mungu bariki Tanzania

Mungu bariki upinzani

Upinzani ulishakufa Tanzania na vyama vikubwa vya upinzani vilikufa 2015 baada ya viongozi wa upinzani kufanya mambo machafu kuliko yule wanayempinga Yaani Chama tawala.
Wakati upinzani unajimaliza chama tawala kimekua kikijiimarisha na ndani ya miaka 5 iliyopita kimekua chama bora cha siasa Tanzania.

Ukiachana na maumivu ya viongozi wa upinzani ambao wamepoteza nafasi zao za kuwakilisha wananchi wa majimbo tofauti, wananchi wengi wana imani kwa chama tawala sababu ya usimamizi na utekelezwaji mzuri wa maendeleo yao.

Tunajua upinzani ni muhimu kwa afya ya taifa, lakini upinzani unaotakiwa kwa sasa Tanzania ni upinzani makini, upinzani wenye misingi imara ya uzalendo, upinzani wenye maadili, na uwe upinzani unaotoka kwa wananchi walio wengi Tanzania sio unaotoka au kuhamasishwa na kiongozi wa chama au kiongozi wa Marekani.
Upinzani ulenge kuleta maendeleo chanya ambayo wananchi wanayahitaji na ambayo hawayapati chama tawala. Viongozi wa upinzani wawe viongozi wa wananchi kwa vitendo, wawe na uzalendo wa kweli na wawe dira zinazotekelezeka

Vinginevyo Tanzania ni ya watanzania na kwao sasa wameamua kwenda na John Pombe Magufuli sababu wanakipata wanachokitaka kwake.
Maendeleo hayana vyama
 
Magufuli kaminya upinzani mpaka unapotea kweli 😢😢

Imagine HAKUNA mbunge wa CCM aliyewahi kusumbuliwa na police, ila wangapi viongozi wa upinzani wamekuwa harassed na police?

Mnajua effect yake hawa viongozi kusumbuliwa na police????....moja Inatoa picha hawa viongozi sio responsible citizens,kwani kwa police wanaoenda ni wahalifu, kwa hio kupelekwa police hawa viongozi wa upinzani kuna wapa picha jamii kuwa they are not to be trusted... hili limekua crafted carefully na serikali ya MAGUFULI! serikali zilizopita kulikua hakuna unyanyasaji kama huu wa serikali ya tano, ndio kusema kwenye serikali zilizopita viongozu wa upinzani walikua HAWAKOSEI?? Ndio ujue kama hili limekua crafted!

SECOND,kupeleka viongozi wa upinzani jela,nikuwachanganya kisaikolojia,demoralise kuwapoteza kiakili wasi concentrate na maendeleo ya majinbo yao..na muda waliopaswa kuwa majimboni Mwao wako wanashughulikia kesi zao police......sijafanya utafiti, ila sitashangaa kama majimbo yale yenye viongozi wa upinzani waliosumbuliwa na police ndio yenye least development!!?!

Cha kufanya CHADEMA ni kuongeza resources/ income muwe mnaajiri ma lawyers kutoka NJE , MAGUFULI anaweza INTIMIDATION waache apart mtu wa kumui INTIMIDATE na yeye atapunguza unyanyasaji, DICTATOR yeyote mwenye Authority ukimuonyesha kuna mtu juu yake anakua mpole anapunguza ego, tunahitaji Lawyers , akina ROBERT AMSTERDEM wengi, muone kama mtaonewa tena na serikali ,,, deploy wakili kama wawili watatu, muone kama mtaonewa tena

Mungu bariki Tanzania

Mungu bariki upinzani
Uchaguzi umeporwa na Dola.

CCM wamerelax tu, kila kona ni mapambano ya wagombea UPINZANI na vyombo vya Dola.

Kuchukua fomu shida, kampeni shida, kuapusha mawakala shida, kuhesibu kura shida, kutangaza matokeo shida.

Yaani huu mfumo wa vyama vingi tulilazimishwa tu, mijitu kutoka CCM ni Majoka from within.
 

Attachments

  • IMG_20201031_200901.jpg
    IMG_20201031_200901.jpg
    53.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom