Vera Sidika aelezea siri ya mahusiano yake na kaka wa kinaija

brenda18

JF-Expert Member
Sep 17, 2013
5,687
5,268
uploadfromtaptalk1498073456553.png
eba05851b4945614ea1eb0d58ac824b5.jpg
uploadfromtaptalk1498073561488.png
uploadfromtaptalk1498073609145.png



Katika hali ya kushangaza leo mwanadada huyu mrembo ameamua kuweka hadharani hali halisi aliyokuwa nayo katika mahusiano na mniger Yommy kutoka Dubai. Mahusiano yalikuwa ya vipigo, mwanaume hakuwahi kumuhudumia, etc mambo yote kaweka na ushahidi kitu kilichoshangaza watu huko Instagram

My take:
Kumbe hawa warembo maarufu na wao huwa wanaumizwa na kuwa kwenye mahusiano yenye mateso kama sisi wa uswekeni hata average Joe's wanaweza kuwapata hawa wadada nilijua wana hang out na madangote ya ukweli, mwanamke mtafutaji, mrembo etc unawezaje kusumbuliwa na marios, khee!!
uploadfromtaptalk1498074568850.png
 
Vera sindika ndio nani???
Vera sidika buana. Wasiliana na mods warekebishe hiyo heading or else jf hii ninayoijua mimi... Itakuwa vituko tupu.

BTW kumbe alikuwa Na kung'utwa, but she is ass boss b*tch sijui kama ana kazi nyingine
 
Ona wadada wanaojitambua hao, wanatumia papuchi na misambwanda kumake maisha, ila akina gigy na the likes wao wanatumia kununulia Hennessy na kuyabinua vilabuni.

Asee afu unakuta huyu mdada hata sio fundi kama wale madada zetu wa uswekeni.
 
Vera sindika ndio nani???
Vera sidika buana. Wasiliana na mods warekebishe hiyo heading or else jf hii ninayoijua mimi... Itakuwa vituko tupu.

BTW kumbe alikuwa Na kung'utwa, but she is ass boss b*tch sijui kama ana kazi nyingine
typing error hio wataelewa tu

alikuwa anakula kichapo ila anavumilia
 
Ona wadada wanaojitambua hao, wanatumia papuchi na misambwanda kumake maisha, ila akina gigy na the likes wao wanatumia kununulia Hennessy na kuyabinua vilabuni.

Asee afu unakuta huyu mdada hata sio fundi kama wale madada zetu wa uswekeni.
na kweli kwa bongo sijaona mwenye maendeleo kama vera, angalau tunaona matunda ya udangaji wake sio hawa wa kwetu huku
 
Huyo jamaa wenyewe kisuruali kimembana kama wale wacheza kiduku
 
Back
Top Bottom