Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,586
- 112,629
Kilivo sasa Mmmh kwakweli acha tu mastaa wawafiche wapenzi waoyani hata kwa bure siviwezi, mi nilijua anatoka na watu wa maana kumbe kimario
Kilivo sasa Mmmh kwakweli acha tu mastaa wawafiche wapenzi waoyani hata kwa bure siviwezi, mi nilijua anatoka na watu wa maana kumbe kimario
We wangalie kundi la wasafi. Jux etc wakiwa wanaongea lazma walambelambe midomo, ni ka vile midomo inawakauka, hayo ndo madhara.
Lakini wewe hupendagi yale makituUkuni ndo jibu la swali ulilouliza mistari mitatu ya mwisho...
eti anaimba kilugha.Kumbe vera ndo huyo?mavoko alivomtaja kwenye ule wimbo wa show me nilikuwa nafikiria kwenye ule mstari anaimba kilugha
Kwel nimeamini macho yake yalistahili kutajwa na kusifiwa,vijana wa WCB wanaona mbali sanaeti anaimba kilugha.
Lakini wewe hupendagi yale makitu
Naanzaje kutokupenda sasa.... najikuta npendaga tuu...
hahahaha eti amejaa kama bondia...Kweli nimeamini EA hakuna mademu......twendeni sao paolo mazee.....mkaone maajabu......nilipita wakati flani......aisee kuna wanawake huko ...acheni mchezo nyinyi.....huyu amejaa kama bondia alafu ....mgumu ......mgumu mnamshangaa???
Yaani wewe huwa ni full burudani kwa majibu yako
AsanteKIGLII nimependa avatar yako.
Waash wash waash pale kati ndo mwisho nyodoUkuni ndo jibu la swali ulilouliza mistari mitatu ya mwisho...
Baby pana ... I like the walaahWaash wash waash pale kati ndo mwisho nyodo