Vera Sidika aelezea siri ya mahusiano yake na kaka wa kinaija

Kumbe vera ndo huyo?mavoko alivomtaja kwenye ule wimbo wa show me nilikuwa nafikiria kwenye ule mstari anaimba kilugha
 
Hahahahahahaa itabidi nianze kuwachunguza wanaume wenye midomo ya namna hiyo na ndevu zilizokaa hivyo hehehehe
We wangalie kundi la wasafi. Jux etc wakiwa wanaongea lazma walambelambe midomo, ni ka vile midomo inawakauka, hayo ndo madhara.
 
Back
Top Bottom