M mpambe Senior Member May 16, 2013 133 41 Jun 13, 2013 #1 Wakati kikundi cha orijino komedy kikila shavu la udhamini,...naomba kuuliza alipo msanii mwenzao vengu( mzee wa kiraracha)
Wakati kikundi cha orijino komedy kikila shavu la udhamini,...naomba kuuliza alipo msanii mwenzao vengu( mzee wa kiraracha)
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,429 85,876 Jun 13, 2013 #2 Mmmmmh kweli tumuombee tu huko aliko isije ikawa bado anaumwa kama Mzee wa Kiraracha
Philip Dominick JF-Expert Member May 26, 2013 1,021 189 Jun 13, 2013 #3 kwani ni vengu pekeake hakuwepo?mbna na yule mfipa pia hakuwepo? halafu,kwan vengu alishapona?
H halikela82 Senior Member May 14, 2013 187 18 Jun 13, 2013 #4 Haya mambo ya commedy me nshayasahu jamani.